Padre Lui Shayo wa Jimbo Katoliki Moshi aadhimisha Jubilei ya almasi (miaka 75) ya Upadre akiwa na umri wa miaka 106

Padre Lui Shayo wa Jimbo Katoliki Moshi aadhimisha Jubilei ya almasi (miaka 75) ya Upadre akiwa na umri wa miaka 106

Joseph Gadiel

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2022
Posts
448
Reaction score
765
20250627_215854.jpg
20250627_215835.jpg

Tumsifu Yesu Kristo!
Katika Kathedrali ya Jimbo Katoliki Moshi imefanyika ibada ya Misa Takatifu ya Jubilee ya Miaka 75 ya Upadre wa Padre Lui Shayo.

Padre Lui Shayo alipata daraja Takatifu la Upadre mnamo June 25, 1950.

Pamoja na Jubilee ya miaka 75 ya Upadre, pia Padre Lui anaadhimisha birthday yake ya 105. Kwa sasa Padre
Shayo yupo katika kituo cha mapumziko cha Longuo, Jimbo Katoliki Moshi.
 
View attachment 3386107View attachment 3386108
Tumsifu Yesu Kristo!
Katika Kathedrali ya Jimbo Katoliki Moshi imefanyika ibada ya Misa Takatifu ya Jubilee ya Miaka 75 ya Upadre wa Padre Lui Shayo.

Padre Lui Shayo alipata daraja Takatifu la Upadre mnamo June 25, 1950.

Pamoja na Jubilee ya miaka 75 ya Upadre, pia Padre Lui anaadhimisha birthday yake ya 105. Kwa sasa Padre
Shayo yupo katika kituo cha mapumziko cha Longuo, Jimbo Katoliki Moshi.
Mungu ni mwema
 
Wachaga mpeni huyu mzee mtori kwa sana na kumtunza mungu amuongezee maisha tuzidi kumuona amekuwa padre wakati mama yangu anaolewa 1950?
 
Back
Top Bottom