Almási is a surname. Notable people with the surname include:
Csaba Almási (born 1966), Hungarian long jumper
István Almási (1944–2017), Hungarian teacher and politician
Ladislav Almási (born 1999), Slovak footballer
Lenke Almási (born 1965), Hungarian gymnast
Péter Almási (born 1975), Hungarian sprint canoer
Tamás Almási (born 1948), Hungarian documentary film director
Zoltán Almási (born 1976), Hungarian chess player
Serpenti Sedutori (Nyoka atongozaye) ndio saa inayovuma saa hizi mtandaoni popote Tanzania na East Africa, gharama yake ikiwa ni dollar za kimarekani 44,200, takribani shilingi za kitanzania 110,500,000/= (millioni mia moja na kumi na laki tano)!
Soma zaidi hapa chini ili kujua imetengenezwa...
Iko hivi: Tundu Lissu kumgusa Magufuli ni kugusa makali ya ncha ya Almasi utake usitake itakuchana Chana tu
pressure kubwa ambayo dhahabu iliyonayo ukiigusa lazima wewe uumie
Tundu Lisu ni kichaa aliyejificha kwenye mche wa muhindi huku kichwa chake kikiwa nje kimeonekana na watu woote
yaweza...
Kuna wimbo mpya wa Dizasta Vina unaitwa 'Almasi' Wimbo umeshiba, kuanzia mdundo, vina, mtiririko wa mashairi n.k.
Mwimbaji ni kama anamuasa huyu Almasi juu ya maisha yake anayoishi ya anasa/starehe, kwamba awe mwangalifu juu ya future yake.
Ningependa kujua kama kuna kitu kati ya hawa jamaa...
Itoshe kichwa Cha habari kutoa utanguli kamili.
Baada ya kuyafuma manukato murua ktk miezi ya wagumu hii ikiwemo bingo la kuchoronga maneno Kwa kipaza sauti kwenye msiba wa don Mmoja wa kipande chetu siku ya pasaka ya mwaka huu, kiukweli nilifunika mbaya mpk nikapigiwa mbwembwe msibani.
Sasa...
Huku taarifa za kina zikiendelea kutafutwa, Nimesoma kwenye mtandao wa Shinyanga Press Club kuwa Maji machafu na tope lenye kemikali limesambaa kuvamia makazi, mashamba na visima vya maji.
Madhara ya kiafya hayajaripotiwa lakini wananchi wenye taharuki washaanza kuyakimbia makazi yao.
Taarifa...
Katika siku za hivi karibuni baada ya ongezeko kubwa la uhitaji wa zao la parachichi ndani na nje ya nchi ya Tanzania kutokana na ongezeko la matumizi ya bidhaa mbalimbali zitokanazo na zao la parachichi,bei ya zao hili imezidi kupanda mara dufu na hadi kufikia hatua wakulima wa zao hilo kuanza...
Vipi nikikuambia kuwa leo hii inawezekana kutumia viumbe hai vidogo visivoonekana kwa macho kama Bakteria au Kuvu kutengeneza kinga ya mwili, dawa kwa ajili ya kutibu magonjwa yanayaothiri afya zetu, au kusafisha mazingira, au kutengeneza bidhaa mbalimbali kama pombe, maziwa, sabuni, dawa za...
Kigwangwala also known as SAID BAGAILE ni mgodi unaotembea baada ya kuitumikia nchi kwa uadilifu mkubwa na ustadi akiwa naibu waziri kisha waziri sasa ni wakati wa simba sc kumtumia kwa uzuri.
Kila siku Bagaile anatoa malalamiko jamhuri ya twitter na ma parody yamemgeuza mdoli punching bag...
Yas kama bei ya karatasi [hizi rimu/ream sijui] imefikia sijui 20,000s, na gharamagharama sijui thelathini naa huoni kama ni yaleyale. Ya kutoa dhahabu na kupewa kioo!!
Tunapewa kakitu kadogo tusichozalisha kwa bei kubwa na ili kupata fedha za kununulia huto tuvitu tunauza chakula chetu cha...
Miaka ya karibuni vijana wengi wamejiingiza katika biashara ya ufugaji wa Mbwa wa kisasa kwa kuimport mbwa nje kama Germany shepherds long coat, Boerbull, Caucasian shepherd, Rottweiler's na wengine na wakifika hapa huwazalisha na kuuza watoto (puppies) huku wateja wao wakubwa wakiwa ni matajiri...
Na. Mwandishi Wetu,
Shinyanga.
MIGOGORO ya mara kwa mara kati ya Kampuni ya Williamson Diamonds Ltd iliyopo Mwadui wilayani Kishapu mkoani Shinyanga na wakazi wa vijiji 12 vinavyouzunguka mgodi huo hatimaye huenda ikafikia ukomo.
Hali hiyo imebainishwa mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya...
ALMASI, KITU KIDOGO KILIVYO WEZA KULETA UKAKASI KATIKA ARIDHI YA TANZANIA.
Na. Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Tuesday -1/02/2022
Iringa Tanzania
Kuna Kisa cha kiarabu huko Iran cha miaka 2400 iliyopita inayoelezea kuwa chanzo cha almasi ni kutoka huko Uajemi, kwenye moja ya miliki ya mfalme...
Leo katika pitapita zangu mtandaoni nimetembelea ambako nimekutana na hii stori, nikaona ni vyema niielete hapa tuijadili kwa pamoja. N.B Mimi si mwandishi wa habari hii.
Barani Afrika na maeneo mengine duniani utamaduni wa kuzika mtu anapofariki ni utamaduni wa miaka mingi na ndio utamaduni...
Jiwe kubwa la almasi ambalo ni la tatu kwa ukubwa duniani limepatikana nchini Botswana, katika machimbo ya dhahabu ya Jwaneng yanayotajwa kuwa yenye utajiri mkubwa zaidi wa almasi duniani.
Jiwe hilo lenye ukubwa unaolingana na ngumi lina uzito wa karati 1,098. Thamani ya jiwe hilo inatarajiwa...
Wasichana wanne waliingia katika mkutano wakiwa wamevaa nguo mapaja yakiwa nje. Kabla ya mkutano kuanza mzee mmoja alikuwa ndiye mwenyekiti wa mkutano huo.
Mzee huyo aliwaangalia kwa makini wasichana hao kicha akawakaribisha kwenye mkutano huo.
Baada ya hapo mzee huyo aliwaambia binti zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.