chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,011
Unauhakika gani juu ya tuhuma hizo. Ivi hilo tukio ni la kwanza kutokea? Mbona yaliyokwisha tokea uchunguzi haujaonesha ni waislam? Mbona tukio la Arusha hamlizungumzii nawakati watu walikufa? Ivi kiukweli bomu na tindikali wapi pabaya zaidi?
Halafu ninyi jamaa mlivyo hivyo kabisa likijaga suala la dini mnakosa focus, busara na hekima......usikute wewe umri wako ni mtu mzima kabisa na elimu yako hovyoooooo......hebu niatjie nchi gani ya kiislamu ilyotulia sasa inabidi tuanze kujadili udini maana kujifanya hakuna udini bado hatuisadii nchi maana ni unafiki