Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Vipendwe vipi na havina sifa wala ubora? kizuri chajiuza tu ila kibaya ndio kinajitembeza. TBS imeundwa kuvipa ubora usio sahihi vitu vya bongo ili vinunuliwe lakini si Zanzibar kwa vile silimbukeni

yeah..mchele wa bara hauna viwango, vitunguu, kuku,nyama hazina viwango ndio maana wapemba wapo kila kona ya nchi wakikusanya hivyo vitu ili wakaviangamize ktk majiko yako na kuvitupia matumboni.
 
Narudia tena leta Qur'an usiniletee maandishi ya kiswahili na Kiingereza.


Ritz unatakiwa kusema hii sio kweli au hii nikweli vinginevo nikuzungushana kusiko nasababu.

Pamoja nakuitaka Qur'ran, baada ya kusomwa waumini/mamuma hufikishiwa ujumbe kwa lugha za mataifa na hiyo ni moja

ya lugha hizo, kila jamii na eneo kwa lugha yao ilikuwezesha mawasiano na kuelewana, unataka alete maandishi ya Qur'ani ?

sisi wengine tutakuwa gizani na itatuwia vigumu kuuelewa ukweli na hapo itakuwa umetuficha mambo muhim na kupoteza maana ya mjadala.

maandishi ya kitaamu katika qur'an tuwaachie shura ya maimamu na wataalam wengine katika majukwaa yao maana

wanaelewana
kwa kila mmoja kuilewa hiyo qur'an sisi hapa tunataka translated version ilikuelewa kilichopo ndani kwa

mjadala wenye afya.
 
Ni mkiristo yupi na alihukumiwa wapi? Ulikuwa tu ni mchezo wa serikali dhaifu kutuliza shari kwa kumtaja mkristo au hukugundua kuwa wakati suspects wanatajwa bungeni, majina ya wahusika wenyewe hayakutajwa. Yaani walisema kuna watuhumiwa 6 ila yakasomwa majina ya wakristo wawili, wengine wakalindwa na serikali yenu dhaifu. Baadae wakasema hakuna mwenye hatia. Waishajua watanzaniabunawachezea kama watoto wadogo, then unawaachia. Hili jambo lingetokea nchi za America au Ulaya, viongozi wote wangeondolewa.

haha..jamaa wanadhani ni rahisi...JK , Bilal(The islamist sasa yoyote km anasiki baridi), saidi mwema,Kova, ..kweli wasimame na kukiri kuwa waislam wa serikalini na uraiani wanahusika kumpiga waliyemhubiri sana "Balozi wa vatican nchini wakati OIC hakuna?"

Huwezi ondoa pepo kwa jina la Belzebuli/Lucifer ufalme wake utakuwa umaefitinika.....msome Mtikila...JK alikataa mtikila aliposema yamhusuyo ila alikubali ya mtikila dhidi ya kagame...ni wazi mtikila alikuwa sahihi.
 
Wazanzibar ni watu wa amani sana na huu utakuwa ni mchezo wa wale wanaogogopa kuiona ZNZ ikiwa huru. Hatuwezi kumeza propaganda za kijinga kama hizi, haingii akilini mtu mwenye akili timamu akammwagia tindikali au kufanya jaribio lolote la kutaka kumdhuru kiongozi wa kidini au yeyote yule.

Nadhani ni muda muafaka kwa wananchi kuilazimisha serikali kuweka wazi uchunguzi na uwajibishaji wa wanaofanya hivi vitendo kama kweli haya yanafanywa na wananchi wa kawaida!

Samahani mkuu elimu haina mwisho, kuwamwagia watu tindikali kutasaidiaje kuzuia Zanzibar isiwe huru?
 
Hawa waislamu bana wanaua huku wanasema allah akbar!

Wanaabudu Mungu anayewatuma kuua watu na Kumwagia watu tindikali.

Poleni sana.
 
Siku hawa maraisi wa nchi hizi mbili watakapo mwangiwa tindikali ndio tutaona cha maana ktk kushughulikia kadhia hii.
 
''A HEART WITHOUT QURAN IS LIKE A SHIP WITHOUT COMPASS'' Muganyizi apply critical thinking

oops...Nadhani hiyo heart with a quran like a ship with compass surrounded by powerful magnets..than earth manetic fields.Alway itapoint in a wrong direction.
 
Wazanzibar ni watu wa amani sana na huu utakuwa ni mchezo wa wale wanaogogopa kuiona ZNZ ikiwa huru. Hatuwezi kumeza propaganda za kijinga kama hizi, haingii akilini mtu mwenye akili timamu akammwagia tindikali au kufanya jaribio lolote la kutaka kumdhuru kiongozi wa kidini au yeyote yule.

Nadhani ni muda muafaka kwa wananchi kuilazimisha serikali kuweka wazi uchunguzi na uwajibishaji wa wanaofanya hivi vitendo kama kweli haya yanafanywa na wananchi wa kawaida!

Samahani kwa ufupi hizi sababu mnazopewa na kutoa waislam,ndizo zinawapotosha sana nyie wenyewe...KIla blood adventure ya waislam lazima mnapata sabau ya kumwingiza mwingine, na mnakuw ana kamstari ktk quran cha kuthibitisha....Hata shule kutofanya vizuri kwa utawala mbovu, chaguzi mbaya za masomo na vipaumbele vya jabu huwa havisemwi kuwa sababu..Ila dr.Ndalichako ndiye amechaguliw akuwa sababu.......

Amani kwa watu wawapendao tuu? YESU ALISEMA WAPENDE HATA MAADUI ILI MUWEZE PATA THAWABU,KWANI HATA WAOVU HUWAPENDA WAWAPENDAO(YAANI MAAFIKI ZAO)..Dunia tofauti sana.

Sasabua yeyote ilisiywawajbisha waislam inawafanya wawe watu wa ajabu zaidi....ni kawaida mitaani ukisema muislam fulani kanifanyia hivyi kwa vile dini yangu ni hii..basi wengine huanza kataa..ukiwathibitishia wanahamia kuwa kakosea maandiko,,na wala si kukomaa na mtendaji ili asirudie.
 
Siku hawa maraisi wa nchi hizi mbili watakapo mwangiwa tindikali ndio tutaona cha maana ktk kushughulikia kadhia hii.
 
yeah..mchele wa bara hauna viwango, vitunguu, kuku,nyama hazina viwango ndio maana wapemba wapo kila kona ya nchi wakikusanya hivyo vitu ili wakaviangamize ktk majiko yako na kuvitupia matumboni.
Vitunguuu na mchele vinatoka India na pakistan ,na Thailand, kuku tunatoa brazil. Nakuujulisha kuwa mchele wa mbeya hauna soko kwa walaji wa Kizanzibari kwa vile haupikiki Pilau na Biriani. Wapemba ni wafanya biashara na ukumbuke huku kuna watanganyika wakuletwa unafikiri wa takula nini kama si maozaoza ya Tanganyika?
 
Zenji si salama kwa wakristo.

Inamaana bara hakuna waisilamu! Au hakuna shekh aliyekwisha pata hayo maji makali? Mbona hatukusema zenji si salama kwa waislamu? Tumia akili wewe, sio uwe unachangia kama unakunya kaharo!
 
Mbona wakristo zanzibar ni wengi kwa nini mapadri?
Hakuna biashara kweli?
 
inshallah watapata mabikra ahela na thawabu
HII DINI NI GIZA LA ULIMWENGU Ustaadhi Ilunga akiwa Mwanza aliwahutubia waislam na kuwaambia kuwa "Waue mapadri, Maaskofu na Wachungaji, iwe adharani ama kwa kujificha". Baada ya maelekezo hayo, waumini wa kiislam wameitikia.
 
Aiseee hawa jamaa hawana mungu kabisa ila wao wanamiungu watu tu.ndo mana hata matendoyao niyaajabu sana.
 
Kama ni ndogo kiasi hicho kwanini tuwang'ang'anie ili hali wanatufanya vilema? Zanzibar si salama tena kwa watanganyika.

Basi kama vp tutemane .....ama kweli huu Muungano ni mradi wa Ccm mbona sisi wananchi hatuutaki
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom