haha....kuna wezi waliuan awakigombania power, na mgao ktk gheto....(hii ni kawaiada sana ktk mafia)...polisi na raia watasemaje au watastahili semaje?kwanza wenyewe tuu hawataki hata issue ifike ktk sheria za wazi......pili raia wema watafurahi km wanapunguzana, na polisi nao watafurahi ....
Wamwaga Acid km ano wanaona mwingine atawasaliti au hakustahili kuwepo ktk kundi naye akapenda lilia kundi then sheria za gheto zitadili naye.Mwingine akiingia naweza kosa evidence....unadhani Jambazi atajipeleka mahakamani kushtaki ktk kesi waliyokuwa wkaigombea mgawo wa uhalifu waliofanya ambao upo ktk upelelezi..?
By the way :HIYO INAITWA FRIENDLY FIRE....NA QURANA INASEMA MUISLAM AKIMUUA MWENZIO KTK VITA NI KM HAJAMUUA KWA FAIDA YA DINI .HANA DHAMBI NA LAIYEUWAWA ATAPEWA THAWABU....yaani ni km unataka US wakahoji mchapano wa terrorists