Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
>Watu wenye akili za kipumbavu hufanya mambo ya kipumbavu... Waliomwagia tindikali padre wana akili za kipumbavu sana...
 
Ponda alishasema "Mtu yoyote asiyekuwa mwislamu ni kafiri, na makafiri lazima wauwawe ili dola ya kiislamu isimame." Naona wanatekeleza maagizo.

kwa nini unatangulia kumtaja ponda katika hili nawasiwasi na watu kama ww on "double standard"

hivi hoja sahihi hazipo mpaka umtaje ponda.
 
Hizi mbinu ni za kinyama kabisa na wala hazistahili kutumika katika siasa za kistaarabu. Yaani baada ya kuona tu kumeanza kuwa na ushrikiano wa vyama vya siasa, ghafla wanamwagia padre asiye na kosa tindikali!!! Na kama umoja wa CHADEMA NA CUF ukionekana kuimarika, tutarajie mauaji yenye mwelekeo au wa kidini au kimaeneo (Zanzibar vs Tanganyika).

Wana JF,

Nina habari mbaya za Padre Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Zanzibar kumwagiwa tindikali huko Mlandege katika cafe ya Sun Shine.

More information to follow.
 
Ni mwendawazimu tu ndiye anayeweza kukubali huu utahira

Unauhakika gani juu ya tuhuma hizo. Ivi hilo tukio ni la kwanza kutokea? Mbona yaliyokwisha tokea uchunguzi haujaonesha ni waislam? Mbona tukio la Arusha hamlizungumzii nawakati watu walikufa? Ivi kiukweli bomu na tindikali wapi pabaya zaidi?
 
Sema usalama wao Ritz. Imani yao ya kidini ndio inayowatesa hivi. Utadhani Mungu naye ana DINI!
WildCard,

Hujui kama kuna Sheikh Zanzibar naye alimwagiwa Tindikali takuwekea picha yako umuone uso wake ulivyo inasikitisha sana. Huyu unamuongeleaje kuhusu imani yake?

Said wa HSC naye kamwagiwa Tindikali naye unamuongeleaje?

Unakosea unaposema imani.

Ushenzi wa mtu hauna uhusiano na dini.
 
Last edited by a moderator:
wafuasi wa ilunga, uamsho na ponda

Chadema wanafiki sana nyie! Si mliwachukia Polisi kwa Ishu ya Ponda! Mkawa mnamtetea kuwa kaonewa na polisi leo kamwagiwa padri tindikali mmeibuka upyaa kumlaani Shehe Ponda! Ha!
 
Sema usalama wao Ritz. Imani yao ya kidini ndio inayowatesa hivi. Utadhani Mungu naye ana DINI!

WildCard,

Hujui kama kuna Sheikh Zanzibar naye alimwagiwa Tindikali? Huyu unamuongeleaje?

Said wa HSC naye kamwagiwa Tindikali naye unamuongeleaje?

Unakosea unaposema imani.
 
Last edited by a moderator:
Hizi mbinu ni za kinyama kabisa na wala hazistahili kutumika katika siasa za kistaarabu. Yaani baada ya kuona tu kumeanza kuwa na ushrikiano wa vyama vya siasa, ghafla wanamwagia padre asiye na kosa tindikali!!! Na kama umoja wa CHADEMA NA CUF ukionekana kuimarika, tutarajie mauaji yenye mwelekeo au wa kidini au kimaeneo (Zanzibar vs Tanganyika).
tena juzijuzi wamemwagua yule mjasiliamari wa home shooping centre,kweli hali ni mbaya sana.
 
Chadema wanafiki sana nyie! Si mliwachukia Polisi kwa Ishu ya Ponda! Mkawa mnamtetea kuwa kaonewa na polisi leo kamwagiwa padri tindikali mmeibuka upyaa kumlaani Shehe Ponda! Ha!
mnafiki ataendelea kuwa mnafiki tu.
 
Naomba wa-Tanzania wenzangu tuwe na tabia ya kujisomea vitabu....Itatusaidia..Haya mafundisho ya midomoni yatatujengea chuki za bila sababu..Nimekaa zenj zaidi ya miaka 7 .. Naijua vizuri..zanzibar udini upo ..Na sababu ni hiyo..Mafundisho ya chuki..nje kabisa ya uislam.. Haya niliyategemea.
 
Hatariii

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ponda alishasema "Mtu yoyote asiyekuwa mwislamu ni kafiri, na makafiri lazima wauwawe ili dola ya kiislamu isimame." Naona wanatekeleza maagizo.

Ndugu yangu,Debe tupu haliachi kupiga kelele.Dini inayomwamini Mungu wa kweli huwa ni tulivu na Isiyo na Jazba kwani inajua Mungu wake ni Mwenye Nguvu na ana uwezo wa Kujipigania.
 
Mungiki walikuwa wengi sana lakini Kibaki alipoanza kuwachapa risasi bila mjadala, haikupita mda wakapoa kama makondoo... Nadhan Shein anawalea UAMSHO...

hizo ni hoja za matakoni,kwan unauhakika kuwa muhusika ni uamsho au unaharisha tu
 
WildCard,

Hujui kama kuna Sheikh Zanzibar naye alimwagiwa Tindikali takuwekea picha yako umuone uso wake ulivyo inasikitisha sana. Huyu unamuongeleaje kuhusu imani yake?

Said wa HSC naye kamwagiwa Tindikali naye unamuongeleaje?

Unakosea unaposema imani.

Ushenzi wa mtu hauna uhusiano na dini.

Mkuu Ritz yule alimwagiwa kutokana na kauli aliyoitoa Hotel ya Bwawani na haikuwapendeza mwamsho liko kisiasa..zenj chuki za kidini zipo
Said ni visasi kutokana na matukio ya nyuma..iko wazi..hiyo mkuu
 
Last edited by a moderator:
Hivi ndivyo mafunzo ya uislamu yalivyotuelekeza mkuu.

tunaomba ushahidi.
lakini ngoja tuweke sawa jambo hili.
jamii yoyote inayo jitegemea huwa inataratibu za kujihami na uadui wowote kutoka nje.hata tanzania ipo sheria ya uhaini dhidi ya serikali. kwa hiyo kama utaunguzumza uislam katika sheria ya kujihami hilo haliusiani na kadhia hii.
na suala uadui dhidi ya dini ya m/mungu sio kipindi cha muhammad peke yake ,hata yesu kwenye biblia anasema wala msidha nalikuja kuleta amani la bali upanga. lakini mbele akaeleza kwamba fitina itatokea kati ya ndugu na ndugu kwa sababu ya kumfuata yeye.
sasa kama una ushahidi kuwa uislam umefundisha kumdhuru mtu asie na hatia naomba unisaidie mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom