Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Kwa ninaacho amini sasa Zanzibar ndio eneo sahihi la kuutangaza ufalme yesu kristu couz watu wake bado hawajaelewa ujio wake. Pole sana mtumishi wa mungu.
 
haijulikani kama uamsho ndo wamehusika au viongozi wa makanisa wenyewe. maana siku hizi mtu akikuchukia silaha yake ni tindikali, je shehe wa Arusha kamwagiwa tindikali na Uamsho au wakristo. tuache uchunguzi wa polisi.....over!
 
Inasikitisha sana kuona mambo haya yanatendeka ndani ya Nchi yetu, Kikwete na Serikali yake wakiendelea kuwapumbaza watanzania kwa siasa za kishenzi na kipumbavu!!

We are getting tired!

Kikwete bila kusikiliza wazanzibar hautapata ufumbuzi wa hii tabia chafu inayoendelea kwa wananchi wenye mioyo inayoumia kama wewe! Maana isije ikaonekana kuna watu wana kero na dukuduku zao Kikwete umeshindwa kuwasikiliza kama siyo kuwatatulia, sasa wanaiwakilisha kwa hii njia chafu na mbaya waliyoamua!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
tuombeane sote ili Mwenyezi Mungu atuepushe na dhahama hii. 'LIPA WEMA KATIKA BAYA'
 
Hao wanao fanya hivyo ni Islam mbona hatujawahi kusikia shehe au ostazi kamwagiwa tindikali au wa Kristo wakisema wa Islam wa toke zanziber!. Angalia nyie viburi dawa yakiburi ni jeuri nyie Taifa dogo
hujui ulisemalo.
 
Hii hali sasa inatisha usalama wetu umekuwa mdogo sana, serikali fanyeni kazi yenu kuwasaidia raia na haya majanga ya tindikali...pole sana Padre kwa mtihani uliyopata Mungu atakujalia.

kibaya zaidi utakuta kuna mtu anataka kuzigombanisha dini hizi mbili. Wakristo tusikurupuke tutumie akili zetu zaidi kuliko kukurupuka.
 
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao

Hichi ulichoandika ni nn? Acha upuuzi! Huko uliko wewe hakuna waislam na wakristo? Wale watu kule wanamambo yao' uctuletee uchonganishi wako wa kipumbavu....pimbi wewe'
 
hivi na yule said mahonda tajiri alimwagiwa tindikali na wakaristoo eeeaaann....!!!???
 
hivi tukirejea tukio la kupigwa risasi Mapagre je silaha zilizotumika zilitoka wapi? na nani anaetoa vibali vya kumiliki silaha, na zanzibar haikupakana na waasi wenye kupenyeza silaha... maana wenye kibali cha kumiliki silaha wanaulizwa ilitumika kwa sababu gani?... uchunguzi wa serikali upite bila kuangalia mtazamo wa upande mmoja.
 
Haya ni matokeo ya serikali hisiyo sikia malalamiko ya wananchi kuhusu wanaumsho.sasa ndiyo wameanza baada ya kutoka somalia.cjuia tunaelekea wapi mungu wangu?? Kwa miaka mingi tumekuwa tukiishi vizuri kati ya waislam na wakristo.na hata tumehoeana bila tatizo.sasa chuki imetokea wapi? Mimi nafikiri ili tuwe na aman ya kudumu kwanza tuwaondoe hawa mafisadi wa ccm ambao wapo kimasirahi zaidi kuliko masilai ya Taifa ,yaan aman na upendo.kwenye uchanguzi wa mwaka 2015.pili kuzishughulia matatizo yote ya wazanzibar kuhusu muungano na hatima Zanzibar.tatu kuongeza ulinzi zaidi wa Taifa letu.maana kumekuwa na wimbi kumbwa la wahamiaji haramu toka Somalia,Nchi za Kiarabu,Nigeria na hatujui wanafanya shughuli ngani hapa Tz.Pia ni muhimu sana kuangaria taasisi nyingi za kidini ambazo hatuna uhakika na shughuli zake
 
Inasikitisha sana kuona mambo haya yanatendeka ndani ya Nchi yetu, Kikwete na Serikali yake wakiendelea kuwapumbaza watanzania kwa siasa za kishenzi na kipumbavu!!

We are getting tired!

Kikwete bila kusikiliza wazanzibar hautapata ufumbuzi wa hii tabia chafu inayoendelea kwa wananchi wenye mioyo inayoumia kama wewe! Maana isije ikaonekana kuna watu wana kero na dukuduku zao Kikwete umeshindwa kuwasikiliza kama siyo kuwatatulia, sasa wanaiwakilisha kwa hii njia chafu na mbaya waliyoamua!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Unachokisema mkuu ndo kitu kilichopo, ni wale wajinga tu ndo wanaokimbilia kwenye uislam na ukristo, unajua licha ya hawa viongozi wa serekali hizi mbili kujifanya kama vile wanaelewana kuhusu muungano lakini ki ukweli raia wa zanzibar hawaupendi muungano, isipokuwa kwa wale wenye maslai nao' kama co uwepo wa wakristo wangemshambulia mgeni yeyote kumbuka90% ya wazanzibar ni waislam na wamechoka, wafanyeje kuionyesha serekali kuwa wamechoka? Wawapige waislam wenzao wkt wakristo wapo? Wakati wa zoezi la sensa nilikuwepo kule, watu walisusia hawataki hata kuhesabiwa tu! Kiukweli wameichoka sana serekali(kwaajili ya huu muungano wa ajabu) bora waunguja lakini wapemba wanauchungu zaidi, hawatasahau uchaguzi wa 2000, wapemba wengi waliuwawa na risasi za wanajeshi wa bara, b'ada ya polisi wa pemba kushindwa' MCHAWI NI SEREKALI NA SIASA ZAKE, DINI SIO SABABU:
 
Kwa ninaacho amini sasa Zanzibar ndio eneo sahihi la kuutangaza ufalme yesu kristu couz watu wake bado hawajaelewa ujio wake. Pole sana mtumishi wa mungu.

Uko tayari kwenda kuwa PADRI ZANZIBAR kwaajili ya mungu?
 
mbona nyie mnaf.....na na kueneza ushoga duniani

Fanya tafiti kwa hapa Tanzania utabaini kuwa vitendo vya ushoga na kuingiliana kinyume na maumbile vimeshamiri sana mwambao mwa bahari ya hindi na Zanzibar ndio mahala pake.Kule mwanamke kutoa nanihii kulinda usichana wake ni jadi.
Na historia inajieleza kuwa maeneo ambayo dini hiyo ilifikia kwa mara ya kwanza toka ARABUNI ni katika ukanda wa pwani.
Pili huwezi uelezea ushoga kwa aya mbili hizi.Obama si mwislamu mbona nae alisaini.Dini inasemaje hebu tueleze.
 
Hivi kweli mtanzania unafikia hatua ya kumchukia binadamu mwenzako tena mtanzania mwenzako kiasi cha kummwagia tindikali kwasababu ya tofauti ya imani ya dini? Mataifa kibao duniani watu wake wanaishi kwa upendo na hawana dini
 
Hayo mambo yanafanywa na waislamu,dalili zote ni wao.
Huku bara hatumwagii mapadri tindikali wala shehe.HAO WAISLAMU WANAOFANYA HAYO hawawezi kulazimisha kueneza uislamu kwa njia za kipuuzi kama hizi.

uislam unaujua au unalopoka thibitisha kauli yako.mambo anayoyafanya JOHN GARANG kule UGANDA UKRISTO ndio umemtuma?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom