Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Pakistan= Zanzibar...fools.wakimaliza mapadre wataanza sunni na Shia..I will be watching it from the tv
 
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao


Inafaa ukaisaidie polisi, maana ushamjua aliyetenda kosa kwa dini ni muislamu. Tupe address sasa na jina kamili.
 
Wana JF,

Nina habari mbaya za Padre Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Zanzibar kumwagiwa tindikali huko Mlandege katika cafe ya Sun Shine.

More information to follow.

attachment.php

Mchezo huo utakapowatamkia basi hapo ndipo arubaini zao zitafikia, na waendelee tu iko siku mungu hatokuwa pamoja nao!
 
Muungano uvunjwe, machogo hamtakiwiiiiiiii

Ila MUNGU anatutaka ndio maana ametupa uhai wake (pumzi yake)...wewe mwenye wivu na wenzio wenye pumzi ya MUNGU ndio unataabika na wapi wenzio waishi au kukaa.
 
hizi issue ni vita ya kimwili, kiroho, na kifikra.....lazia fikra zitumike kubaini uovu,motive na tactics, lazima roho zishirikishwe kwa vile "majinn" nayo yanatumika kuleta shida ili yaweze patiwa damu waliyoahidiwa .NI vita y akimwili kw avile binadamu wanahusika na inahusu mwili.
 
zanzibar si nchi , kikwete ndiye wa kulaumiwa kwa yote haya. Kiwete nchi imemshinda kabisa kwa kuendekeza na kulea udini

Zanzibar ni nini kama si nchi?
Tanganyika(Tz bara) ni nini kama si nchi?

Muungano wa Tanzania ni muungano baina ya nchi, majimbo,mikoa, wilaya, vijiji au kata?

Nani ameshikwa pabaya katika siasa katika kipindi hiki cha mchakato wa kuandika katiba mpya? Kwa nini matukio haya yametokea, yanatokea katika kipindi hiki?

Nani ananufaika na uhalifu huu unaofanywa?

Aliyebanwa nyeti anatafuta pa kutokea.
 
Zanzibar ni nini kama si nchi?
Tanganyika(Tz bara) ni nini kama si nchi?

Muungano wa Tanzania ni muungano baina ya nchi, majimbo,mikoa, wilaya, vijiji au kata?

Nani ameshikwa pabaya katika siasa katika kipindi hiki cha mchakato wa kuandika katiba mpya? Kwa nini matukio haya yametokea, yanatokea katika kipindi hiki?

Nani ananufaika na uhalifu huu unaofanywa?

Aliyebanwa nyeti anatafuta pa kutokea.

Ni upande mmoja wa nchi, km mguu mmoja wa suruali..kwani unaweza itwa suruali?
 
Ni upande mmoja wa nchi, km mguu mmoja wa suruali..kwani unaweza itwa suruali?

Upande maana yake nini?

Mguu wa pili wa suruali ya Tanzania unaitwaje?

upande wa pili wa nchi unaitwaje?

Hivi ndugu Nicholas kabla ya huo muungano hizo pande mbili hazikuwa suruali? Pande hizo zilikuwa nusu mguu?
 
Upande maana yake nini?

Mguu wa pili wa suruali ya Tanzania unaitwaje?

upande wa pili wa nchi unaitwaje?

Hivi ndugu Nicholas kabla ya huo muungano hizo pande mbili hazikuwa suruali? Pande hizo zilikuwa nusu mguu?
-ukismama ktk pint moja utasema upande huu na huu..ndio maana CCM wanasema upande wa viziwani na Bara...
-Kwani unadhani walishindwa ita ukanda, jimbo mkoa?

Kabla ya mguu wa suruali..palikuwa na vitambaa.........

-unataka uitwaje mguu wa suruali...?
 
Katika kutafuta wokovu zanzibar ni mahali salama kwa wakristo. Hata mitume, manabii na watakatifu wengine walifia dini kwa kuthutu kueneza habari njema kwa watu wote.

Tusikate tamaa, na naamini adui yetu ni sisi wenyewe tunapokubali kuchonganishwa ili tupigane wao wavune vyetu.
 
-ukismama ktk pint moja utasema upande huu na huu..ndio maana CCM wanasema upande wa viziwani na Bara...
-Kwani unadhani walishindwa ita ukanda, jimbo mkoa?

Kabla ya mguu wa suruali..palikuwa na vitambaa.........

-unataka uitwaje mguu wa suruali...?

Nicholas na wewe unawaunga mkono CCM kuziita nchi wanachama wa muungano wa Tanzania, upande(pande)?

Wewe unapendekeza pande hizo ziitwe majimbo ya muungano, mikoa ya muungano au kanda za muungano?

Mafia inaingia katika visiwani au bara?

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/334649-tundu-lissu-na-kiinimacho-cha-muungano.html

Na kabla ya vitambaa kulikuwa na nini?
 

mbona hujasema Crusade ilikuja km reaction ya nini?Mbona mnapenda jidanganya sana..?Crusade ilikuja baada ya chokochoko za waislam km hizi..huku jihad mbaya zikaanza teka maeneo mtakatifu kwa wakristu na wasio waislam.

Mtajidangnya sana ,mnasem ahistoria ya upande mmoja ili kuonekana kuwa vyie ni victims....ni km vita za kiislam na vurugu nyingi hamtaki kubali na kusema wazi kuwa ni roho za majinn zinawasukuma ili wapate damu.....sasa inawasaidia nini?km upo tayari danganya ukweli ambao umeuona ktk dini yako..badi unafich kujidanganya halafu naendelea amini mtafaika Peponi.Ktk pepo ya Jehovah...
 
Pakistan= Zanzibar...fools.wakimaliza mapadre wataanza sunni na Shia..I will be watching it from the tv

hawa jamaa waapewa sababau nyingiza kujidanganya..wengine watadaia kuwa ni hila za marekani na Wayahudi ..ila hakuna vita ya madhehebu mahali km Iraq,yemeni,somalia, wengine wanaongezea kuwa mafuja yamegundulika ndio maana.....Ila ukweli ni Majinn yanawaendesha yakitafuta Damu.....mwenye kubisha aje hapa atuambie wanalisha nini majinn...
 
Nicholas na wewe unawaunga mkono CCM kuziita nchi wanachama wa muungano wa Tanzania, upande(pande)?

Wewe unapendekeza pande hizo ziitwe majimbo ya muungano, mikoa ya muungano au kanda za muungano?

Mafia inaingia katika visiwani au bara?

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/334649-tundu-lissu-na-kiinimacho-cha-muungano.html

Na kabla ya vitambaa kulikuwa na nini?

sipendekezi kwani najua utaumia sana roho..na sipo muda wa kukumiza..Usijaribu ni blackmail ili nijisikie guilty..mimi huwa sioperate hivyo....kwani hujawahi sikia north America, east Africa etc..australia na oceania..kutaja kanda si shida kwa lolote.

swali funny.....kabla ya kitamba kulikuwa na nyuzi na rangi......Zenj ni km wilaya moja tuu...na Mafia haipo Zenj...sijui umeulizia nini hili swali.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom