Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Pole sana Mtumishi Mungu amjalie apone mapema
 
Pole sana padri. Ni wakati sasa tindikali kupandishwa bei. Halafu wazanzibar wanatuma sms gani kwa watanzania na viongozi wetu.
 
hakuna tofauti ya uislam na ugaidi! Muislam anayebadili dini (apostate) mnatakiwa kumuua ili Allah wenu afurahi

umepotea njia. yesu anasema ktk biblia yako mbingu na nchi zitatoweka yodi moja nukta moja katika taurati haita tenguka.
sheria ya musa aliileta mungu na ameilinda mungu hadi leo.kwa hiyo hata kama ukifanikiwa kuiangamiza dunia kisha ukaisambaratisha mbingu bado nukta moja ya sharia itabaki palepale.
na katika vita hio ya fikra mungu ndie atakae shinda na walio upande wake.
 
Kwa kumwagia tindikali wanadhani mapadri na wakristo wa zanzibar wataacha ukristo na kuhamia uislam!!!kama mungu ulivyowashindia wana wa israel nasi twajua tutashinda tu kwa jina lake kristo yesu na tukifa twafa katika kristo yesu!magaidi hawata shinda kamwe!
 
unahangaika lakini ngoja tukujuze.
yesu kwenye hiyo biblia yako anakwambia si kila mtu anae mwita bwanabwa atauona ufalme wa mungu isipokuwa yule tu atakaefanya mambo yanayopendezwa na baba yake alio mbinguni.
kwa hio kumtaja yesu au issa au jesus au jessie au bebeto sio hoja kama unavyotaka bali matendo yako yampendezeshe yeye alie mbinguni.
soma zaidi kuhusu yesu ulie nae na matendo unayoenda nayo kama yanaendana kisha ujivune juu yake.
usitangulie stand wakati nauli anayo mtu mwingine.

Naona una kihere here sana cha kumtaja YESU, kulikoni??
 
Nina mashaka na Mungu anayeabudiwa na Waislamu. Sithani kama ni Mungu yule tuaminiye ndo Muumba Mbingu na Dunia. Nadhani hawa jamaa wana Mungu wao

Uislamu ndio unafundisha mapadri kumwagiwa tindikali?
 
Hii hali sasa inatisha usalama wetu umekuwa mdogo sana, serikali fanyeni kazi yenu kuwasaidia raia na haya majanga ya tindikali...pole sana Padre kwa mtihani uliyopata Mungu atakujalia.

Kuna siku utabadili Dini,kwani taratiiibu unaona ni jinc gani Serikali ilivyo Dhaifu..
Haya mambo yanazidi kushamiri ktk kipindi hiki cha uongozi wa JK..
Naye hachikui hatua stahiki.
Polisi waliwezaje kuwatia nguvuni walio mpiga risasi kamanda Mwanza!?tena mda mfupi tu,na tukio lile lilitokea Usiku..
Lakini Padre alipigwa risasi Mchana kweupeeee na wapigaji walikua na Pikipiki tu..
Hali iko hivi leo,vp kampeni ztakapo anza 2015 ,haali si itakua mbaya!?
 
Changamoto ni pale uchunguzi unapochukua muda mrefu na matukio yanajirudia. Watu wanakosa Imani na amani pia.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kwa Pamoja tuungane na kuchikana mikono na tunyanyue juu kulaani uhuni huu na tukomeshe uhalifu wa aina hii isirudie popote. Kwa upole na huruma tunamuombea Padre Amcelo MWanga'amba apone haraka na apate tahafifu.Amin Nasikitishwa kwa tendo hili la kinyama na uhuni kufanyika mchana kweupe hapo Zanzibar, Mie kama Muisilamu hakiki na Muisilamu Mwema sikubaliani kwa uovu huo "kwani hakuna Amri wala maelekezo ya kuvamia Raia au imani ya mtu bila hatia" Mwenyeezzi Mungu tuepushe na utunusuru pamoja na ndugu zetu Ahli-el-Kitaabu (Masih Christiians) katika fitina hii.AMIN Ni jukumu la wananchi wa Zanzibari kuzui na kukemea uhuni huo japo kwani kila "mwenyeezzi Mungu katukirimu UBINAADAMU na kututukuza viumbe vyake (watu) kabla ya kupewa DINI. Poleeni kwa kwote. Kwa radhaa zenu jamii.
 
Kwa kumwagia tindikali wanadhani mapadri na wakristo wa zanzibar wataacha ukristo na kuhamia uislam!!!kama mungu ulivyowashindia wana wa israel nasi twajua tutashinda tu kwa jina lake kristo yesu na tukifa twafa katika kristo yesu!magaidi hawata shinda kamwe!
kwa nini wakristo,wakipatwa na jambo mbio wanaleta dhana?Ni ukosefu wa elimu au nini?Lazima ufanye uchunguzi ili utoe majibu sio kukurupuka tu.Mbona waislam hawana tabia ya kukurupuka na kusema ni fulani,ni mpaka wawe na ushahidi wa kutosha.Someni,elimu ndio inamfanya mtu asiwe wa kukurupuka,acheni kutafuta vyeti vya kununua.
 
hakuna tofauti ya uislam na ugaidi! Muislam anayebadili dini (apostate) mnatakiwa kumuua ili Allah wenu afurahi

Bola ushugulike na dini yako kuliko kusema ambayo hayamo katika Uislamu ,hivi ni wapi katika uislamu imesemwa muislamu anaebadili dini kwenda dini nyengine auliwe ? Wapi hapo naomba jibu kama huna itakubidi uombe radhi na kuondoa hii dhana.
 
Nina hasira sana na hao wapumbavu wanaofanya hivyo vitendo. Wasitegemee kwamba hatuta retaliate, let them wait and see. They want war we gon' give them war. To hell with 'muungano'

>Serikali hii mbaya ya ccm inashindwa kuwakamata kweli au wanatengeneza matukio.....
 
Ipo siku Mungu atamrudisha Muhamad duniani aje awaambie waislam mnayofanya sio sawa!! Waislmu wa sasa hamuukwepi moto nawaapia!! Kila sehemu majanga angalia Syria watoto wameuawa kwa sumu mamilioni mmegeuka wakimbizi nenda Egypt hakukaliki sasa hivi Rudi iraki balaa!! Nchi nyingi za kiislamu hazieleweki na nisababu ya roho mbaya zenu hamjui maridhiano ni nini visasi tu nyie ndio mnaona sawa!! Kama mtaendelea na ufedhuli wenu zanzibar itageuka somalia mavurugu na umasikini wenu! Ipo siku
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom