Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Padre amwagiwa Tindikali huko Zanzibar

Status
Not open for further replies.
nitakusaidia, uislam uondoe kitengo cha propaganda dhidi ya ukristo! Kuna tuvyuo twa kufundisha kutafsiri Biblia tofauti na kuaminisha kuwa Issa ni YESU na eti Biblia Takatifu imechakachuliwa.

USHAURI: Hakuna jina la YESU kwenye Korani hivyo msilitamke. Mumkome YESU wetu

Dah Nyakageni bhana umenena kitu cha maana sana!

Ndio maana hata kwenye biblia tukaacha kutumia neno JESUS, sisi tunaita YESU tu, tumewaacha wazungu na JESUS wao na sisi YESU wetu! Ushauri mwanana huu!
 
Watu wanafanya mambo yao kisha kusingzia waislam,,huo niuzush kaeni makn uislam haukuanza jana znz
UISLAMU na UGAIDI nisawa na KOPE na MACHO hauwezi kuvitenganisha hata mjitetee vp. Ni mara ngapi MASHEIKH wenu wana wahamasisha kuua wakristo kwa madai kuwa eti wanawanyonya. Acheni upuuzi nendeni shule. Haujaona au kusikia mafundisho ya SHEIKH wenu ILUNGA, FARIDI na PONDA kuhusu chuki na mauaji ya wakristo au wale ni wakristo? Someni elimu dunia siyo mnakimbilia elimu yenu mnayo iita ELIMU AKHERA tazameni shule za kikristo na vyuo vyao vikuu kisha muige maana hakuna pepo ya wauaji kama mnavyojidanganya.
HATUTOINUA SILAHA ILA MTASHINDWA KATIKA JINA LA KRISTO YESU...sema AMEN
 
Wazanzibar ni watu wa amani sana na huu utakuwa ni mchezo wa wale wanaogogopa kuiona ZNZ ikiwa huru. Hatuwezi kumeza propaganda za kijinga kama hizi, haingii akilini mtu mwenye akili timamu akammwagia tindikali au kufanya jaribio lolote la kutaka kumdhuru kiongozi wa kidini au yeyote yule.

Nadhani ni muda muafaka kwa wananchi kuilazimisha serikali kuweka wazi uchunguzi na uwajibishaji wa wanaofanya hivi vitendo kama kweli haya yanafanywa na wananchi wa kawaida!

Mkuu umeongea vizuri sana. Hizi ni mbinu za kijinga sana wanazotumia wanaofaidika na muungano ili kuulinda kihila.
 
Hii nchi imelaaniwa. Bila kujirudi, hakika siku zetu zinakuja tena mbaya sana. Mungu tusaidie.
 
naona kamchezo kamekua katamu mpaka imekua tabia ya kawaida
 

Attachments

  • 479846_10151378912796922_1934083875_n.jpg
    479846_10151378912796922_1934083875_n.jpg
    22.6 KB · Views: 124
Huku kwetu zanzbr hiyo acid tunaita juice ya ukwaju,padre kamwagiwa juice ya ukwaju,hii ni tahadhari kwa waliobaki coz juice ya ukwaju ni nooumaaaa...!
 
mkuu; ishu hapa si waislam wala wakristo, Ishu hapa ni makundi ya uhalifu ambayo hayajadhibitiwa. Ikumbukwe kwamba uhalifu hufanywa na watu na watu hawa wanaweza kuwa na dini zao ila sio dini hizo zinazowatuma watu kufanya uhalifu.Muhalifu bila kujali dini yake ni muhalifu tu na anayedhuriwa bila kujali dini yake ni lazma atetewe.Binafsi naamini watu wanaoyahusisha matukia haya na dini fulani (yoyote iwayo) ni wale wale wanaoyafanya matukio husika ambao mimi naamini lengo lao ni kuchochea migogoro ya kidini.Kwa hiyo wanapomdhuru kiongozi hivyo halafu wakawa wanachochea "watakuwa ni watu wa dini fulani", na siku nyingine anadhuriwa kiongozi wa dini nyengine; basi utasikia tena wanachochea "Watakuwa ni wale wa dini nyengine" basi mgogoro unakuwa na muhalifu anakuwa kafikia lengo.Nadhani sisi tujaribu kujiepusha kuwa sehemu ya kumfanya muhalifu kufikia lengo la kuichonganisha jamii. ANAYEFANYA UHALIFU ABEBE MSALABA WAKE MWENYEWE.

Tunaitaji watanzania wa aina yako. Asante mkuu.
 
Kinachosikitisha ni kuwa matukio yote ya tindikali yaliyotokea Tz hakuna hata mtuhumiwa moja aliyekamatwa mpaka sasa.
Hiyo intelijensia ya polisi imeenda wapi?
 
Wandugu kwanza UTAIFA na UZALENDO kushabikia dini baadaye !! umeumbwa kutumia Akili zetu na Busara na siyo jazba na hasira.!! Haki ya kuishi na kuwa huru ni kwa wote.... Hapo ni kuungana kuwa wamoja na kupigan vita ya kusimamisha majangaa haya ya kuvamiana ovyo bila sababu zozote.! Sheria itumike kulinda na kukamata wahalifu wa AMANI.
 
>Serikali thaifu haithamini mambo ya wadogo huhangaika na kushughulikia mambo ya wakubwa.. Hivi angekuwa makamu wa Rais amefanywa hivyo wangefanyaje..
 
Ponda alishasema "Mtu yoyote asiyekuwa mwislamu ni kafiri, na makafiri lazima wauwawe ili dola ya kiislamu isimame." Naona wanatekeleza maagizo.
 
Wale mabinti wa kizungu walivaa vimini ikasemwa ndio sababu ya kuwamwagia - Sasa huyu Padre nae amevaa nini???
Waislam tuache ujinga wa kushikiliwa vichwa kwa manufaa ya wachache......huu si ubinadamu hata kidogo wala hakuna thawabu kwa matendo haya ya kinyama
Haya mambo yatatugharimu sana hata kwa vizazi vijavyo
Nadhani wanajidanganya tu kwamba wakiwa wengi na wakaishi peke yao, basi wataishi vizuri. Tuangalie kwanza mataifa ambayo wapo asilimia 99. Egypt, Libya, Somalia, Sudan, Syria, Iran, Afghanstan na kwingine. Mbona hakuna historia ya amani huko?
Hawa watu waishalaniwa. Yaani wao wanasema ndo watu wa Mungu na wengine wote sio. Cha ajabu, wanakubali kwamba Mungu ndo muumba wa wote. Sasa kama ni Mungu kaumba, wao wanashida gani na ukafiri? ina maana wanampigania Mungu wao?
Tufike point sasa watambue na kuangalia huyo Mungu wanayemwabudu. Sote sasa tunajua kwamba ni Mungu wa maovu maana ndo wao hutenda kwa kisingizio cha Mungu huyo huyo. Mungu wa maovu sio Mungu muumba. Hicho kitakuwa kitu kingine na matunda yake watayajutia kizazi chao wote ifikapo Mungu wa kweli akija kuwakemea.
 
Kama ningeweza Zanzibar ningeisogeza Mbali sana na Tanganyika-J.K Nyerere

Ni kweli kabisa ila wale wenye mawazo finyu kama yako hamkuweza kumfahamu baba yenu wa Taifa la Tanganyika,kuisogeza Zanzibar inabidi uchimbe kushinda ukubwa wa bonde la ufa ,kuanzia Tanga hadi Mtwara kilomita 40 kuelekea milimani ,Nyerere alijua kuna wajinga watamfamu visivyo,na ndio leo tuwaonavyo.
 
Hii hali sasa inatisha usalama wetu umekuwa mdogo sana, serikali fanyeni kazi yenu kuwasaidia raia na haya majanga ya tindikali...pole sana Padre kwa mtihani uliyopata Mungu atakujalia.

Hivi ndivyo mafunzo ya uislamu yalivyotuelekeza mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom