Beberu JF-Expert Member Jan 26, 2017 3,947 7,949 Dec 18, 2023 #1 Wakuu salamu kwenu, Heri ya mwaka mpya 2024. Sasa wakuu, nahitaji kununua oven kwa ajiili ya matumizi ya familia ya watu 6-8. Ni oven kampuni gani nzuri itanifaa na za ujazo wa litre ngapi?
Wakuu salamu kwenu, Heri ya mwaka mpya 2024. Sasa wakuu, nahitaji kununua oven kwa ajiili ya matumizi ya familia ya watu 6-8. Ni oven kampuni gani nzuri itanifaa na za ujazo wa litre ngapi?
Amehlo JF-Expert Member May 8, 2019 9,082 25,428 Dec 18, 2023 #2 lita 200 mbona inatosha tu westpoint, MrUk wako vzr
Beberu JF-Expert Member Jan 26, 2017 3,947 7,949 Dec 18, 2023 Thread starter #3 Amehlo said: lita 200 mbona inatosha tu westpoint, MrUk wako vzr Click to expand... Lita 200 mkuu? Nitakuwa napika nini?
Amehlo said: lita 200 mbona inatosha tu westpoint, MrUk wako vzr Click to expand... Lita 200 mkuu? Nitakuwa napika nini?