Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Jamaa dakika za mwisho mwisho inaonekana ngoma yake ngumu sana ilikuwa lol na nani ame value lile pango lake kwamba lina worth $1 mil?

Eti wanaiita million dollar mansion! Really? Hahahaaa

But I think somebody sold him out and they are just not telling it because they usually don't ever tell everything. Perhaps one of his trusted lieutenants.

Yaani katika uvamizi uliochukua takribani dakika 40 waliwezaje kujua hizo nyeti zilipokuwa katika mjumba mkubwa hivyo kama hawakuwa wametonywa? Haijakaa sawa hii.
 
Mkuu kwenye michoro ya compound inaonyesha alikuwa na madish mawili... Unless yalikuwa zuga tu.

Weka evidence ya kauli yako hapo juu. Vinginevyo, ni wazi kale ka TV ka Sheikh Osama jinsi kalivyokaa kanatumia analog technology, na ingebidi awe na angalau converter box ili kupata digital signals. Lakini la msingi ni kwamba uwezekano ni mdogo kwa "Sheikh" Osama (jinsi alivyokuwa almost completely isolated in every significant sense from the outside world), ajikalie nyumbani kwake kwenye sofa (just like any average Joe) halafu aanze ku-surf TV channels zinazorusha Programs mbalimbali, na hatimaye ainase some satellite-relayed TV Program moja inayomhusu yeye mahsusi kati ya miaka ile ya kuanzia mwaka 2006 alipohamia yale maskani hadi 2011 alipouawa. This kind of scenario, to be honest with you, is just too far-fetched in my eyes ukilinganisha na ile ya kuangalia pre-recorded videos.
 
Weka evidence ya kauli yako hapo juu. Vinginevyo, ni wazi kale ka TV ka Sheikh Osama jinsi kalivyokaa kanatumia analog technology, na ingebidi awe na angalau converter box ili kupata digital signals. Lakini la msingi ni kwamba uwezekano ni mdogo kwa "Sheikh" Osama (jinsi alivyokuwa almost completely isolated in every significant sense from the outside world), ajikalie nyumbani kwake kwenye sofa (just like any average Joe) halafu aanze ku-surf TV channels zinazorusha Programs mbalimbali, na hatimaye ainase some satellite-relayed TV Program moja inayomhusu yeye mahsusi kati ya miaka ile ya kuanzia mwaka 2006 alipohamia yale maskani hadi 2011 alipouawa. This kind of scenario, to be honest with you, is just too far-fetched in my eyes ukilinganisha na ile ya kuangalia pre-recorded videos.
screenshot20110507at115.jpg

bin-laden-compound.jpg

Picture4_slideshow.jpg
 
Eti wanaiita million dollar mansion! Really? Hahahaaa

But I think somebody sold him out and they are just not telling it because they usually don't ever tell everything. Perhaps one of his trusted lieutenants.

Yaani katika uvamizi uliochukua takribani dakika 40 waliwezaje kujua hizo nyeti zilipokuwa katika mjumba mkubwa hivyo kama hawakuwa wametonywa? Haijakaa sawa hii.
Mkuu usiwe na wasi wasi, time will tell.

Bado hii issue kila siku zinavyozidi kwenda naona ndio kama wanazidi kuchanganya habari.
 
Weka evidence ya kauli yako hapo juu. Vinginevyo, ni wazi kale ka TV ka Sheikh Osama jinsi kalivyokaa kanatumia analog technology, na ingebidi awe na angalau converter box ili kupata digital signals. Lakini la msingi ni kwamba uwezekano ni mdogo kwa "Sheikh" Osama (jinsi alivyokuwa almost completely isolated in every significant sense from the outside world), ajikalie nyumbani kwake kwenye sofa (just like any average Joe) halafu aanze ku-surf TV channels zinazorusha Programs mbalimbali, na hatimaye ainase some satellite-relayed TV Program moja inayomhusu yeye mahsusi kati ya miaka ile ya kuanzia mwaka 2006 alipohamia yale maskani hadi 2011 alipouawa. This kind of scenario, to be honest with you, is just too far-fetched in my eyes ukilinganisha na ile ya kuangalia pre-recorded videos.
Lakini mkuu ,ni wamarekani wenyewe ndio wamesema kwamba alikuwa na satellite.sasa hapo unataka kuniambia ana flip local channel za pakistan zitamsaidia nini? Lol

Hawa jamaa kuhusu ki-tv siwashangai kabisa.Angalia sadam kwenye kale kashimo alichokua kajificha mule ndani? Kutoka kwenye palace mpaka kwenye kishimo cha ajabu.
 
Jamaa dakika za mwisho mwisho inaonekana ngoma yake ngumu sana ilikuwa lol na nani ame value lile pango lake kwamba lina worth $1 mil?
Wamevalue kibongo bongo, ilo jumba limenikumbusha nyumba nyingi za bongo especially zile unakuta mtu anaanza kujenga alafu hela zinaisha kwa hiyo anaishia katikati.
 
Wamevalue kibongo bongo, ilo jumba limenikumbusha nyumba nyingi za bongo especially zile unakuta mtu anaanza kujenga alafu hela zinaisha kwa hiyo anaishia katikati.

Kweli kabisa mkuu. Hile tv yake ndio kanimaliza kabisa .hivi wameachia video zote au ndio hio tu amekaa chini na hile nyingine?
 
Haya ma-satellite dishes (conspicuous and grand as they may appear to outsiders) hayana credibility sana ya kuonyesha ushahidi wowote kuwa mhusika ana working digital satellite connection. Tembea Mbezi Beach, Mikocheni, Msasani, O'Bay etc utakuta watu wamesheheni obsolete but impressive looking old-school satellite dishes kwenye plot zao, ambazo nyingine zina ukubwa wa size ya nyumba ndogo, lakini kiukweli hazifanyi kazi yoyote na yamebaki kuwa ni urembo tu.

Kama hiyo Satellite TV Chanel ambayo Osama alikuwa ame tune kwenye ka analog TV kake ilikuwa ni Satellite TV ya Al-Qaeda ambayo inaonyesha picha na habari za Osama 24-hours, 365 days a year, basi utakuwa hujakosea. Vinginevyo yote yanabakia kuwa ni pure speculations tu kwa pande zote kutokana na mapungufu makubwa kuhusu ushahidi na ukweli wa mazingira halisi aliyokuwa akiishi "Sheikh" Osama na yale aliyouawa.
 
Haya ma-satellite dishes (conspicuous and grand-looking as they may appear to outsiders) hayana credibility sana ya kuonyesha ushahidi wowote kuwa mhusika ana working digital satellite connection. Tembea Mbezi Beach, Mikocheni, Msasani, O'Bay etc utakuta watu wamesheheni impressive old-school satellite dishes kwenye plot zao ambazo nyingine zina ukubwa wa size ya nyumba ndogo lakini kiukweli hazifanyi kazi yoyote na ni yamebaki kuwa ni urembo tu.

Kama hiyo Satellite TV Chanel ambayo Osama alikuwa ame tune kwenye ka analog TV kake ilikuwa ni Satellite TV ya Al-Qaeda ambayo inaonyesha picha na habari za Osama 24-hours, 365 days a year, basi utakuwa hujakosea. Vinginevyo yote yanabakia kuwa ni pure speculations tu kwa pande zote kutokana na mapungufu makubwa kuhusu ushahidi na ukweli wa mazingira aliyokuwa akiishi "Sheikh" Osama na mazingira aliyouawa.
Nimesoma kwenye Washington Post kuwa alikuwa anaflip kwenye Al Jazeera na Al Arabiya.
In that video, bin Laden is shown wearing a black stocking cap instead of his standard white headgear, and gripping a remote. On-screen is a menu of channels including al-Jazeera and al-Arabiya. The camera zooms in on his face — his beard gray instead of dyed black — then pans back to show the al-Qaeda leader watching scenes of himself in familiar news footage: brandishing an automatic rifle, navigating a rocky trail.
U.S. releases videos seized in bin Laden raid - The Washington Post
 
Kweli kabisa mkuu. Hile tv yake ndio kanimaliza kabisa .hivi wameachia video zote au ndio hio tu amekaa chini na hile nyingine?
Wamechia baadhi, sasa hivi DoD na CIA wanataka kumdhalilisha Osama ndio maana wanatoa video kama ya leo sintoshangaa kuona wanatoa nyingine amejichokea. Ukiangalia vizuri upande wake wa kulia kuna screen ya computer, hii sijui ndio ilikuwa command centre yake lol.
 
Just the mention of the fact that Osama apparently had access to "a menu of channels to al-Jazeera and al-Arabiya" doesn't constitute sufficient proof that indeed Osama had direct satellite connection to these two TV stations. For all I know, its possible he may as well have been playing pre-recorded videos of programs that were relayed from any of these TV channels months, if not years, in advance.
 
Kang nimezoea kukusoma kule kwenye jukwaa ka sayansi na teknolojia.
Hebu niambie kwa utaalamu wako yawezekana kweli nyumba yenye ungo (dish) ikaelezwa kwamba haina mawasiliano ya internet na ikashindikana kuwa na simu?.
Na jee kwa kutumia dish Osama angeweza kuongoza mtandao wa Alqaida na kuweka mafaili yake kwenye kabati pale Abbottabad?.
 
Ulimbukeni tu.............waislamu wanaona km osama ni mungu vile hawezi kuuawa........kvipi?
mwislam gani anaona sheikh Osama mwizi..uislam ni dini iliyojengeka juu ya iman yamungu 1 tu aso na mshirika na wla hana mfanowe..labda unachanganya na dini zinazoamini juu ya wanyama na binadam wenzao kua ni mungu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom