Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
Simchezo naona jamaa walikuwa wameshamuua wiki moja iliopita walikuwa wanasubiri kukamilisha mambo yao ya uchunguzi pamoja na kufanya dna test.


What's next for alqaeda?

The question should read "what's next for Khadafi?"
 
Osama ametengenezwa na marekani wenyewe..conspiracy theories znaonyesha wao u.s.a ndio walilipua world trade center..hata mohamed nijad aliwachana katika u.n summit.
 
Jamaa anajipigia pande kuwa yeye ndiye aliyetoa amri ya kumuua, kweli Jaluo kaamua
 
Jamaa anajipigia pande kuwa yeye ndiye aliyetoa amri ya kumuua, kweli Jaluo kaamua
Major Operation yoyote lazima ipate green light kutoka kwa rais especially kama inatokea nje ya nchi.
 
Obama ni noma! Hakuna cha bush wale babake bush! hapa ni Obama number one!
 
Pasco, CNN gani unaangalia we mwenzetu mbona mi sijaona? Manake hata CNN International Wolf Blitzer ndo yuko hewani....
NN, naangalia CNN hii hii unayoangalia wewe, tofaut ni ammount ya concetration tuu. Wengi wanaangalia huku wamehamanika, mimi naangalia very critical. Mara baada ya Obama kuongea, Blitzer akatangaza salamu za pongezi zimeshaaza kumiminika studio za CNN na kutangaza za kwanzo ni kutoka kwa Bush, katika alamu hizo za Bush, ndia kaeleza kuwa Obama amempigia simu kumtaarifu kama mtu wa kwanza kupokea taarifa hizi baada ya Obama kuzipata.
 
NN, naangalia CNN hii hii unayoangalia wewe, tofaut ni ammount ya concetration tuu. Wengi wanaangalia huku wamehamanika, mimi naangalia very critical. Mara baada ya Obama kuongea, Blitzer akatangaza salamu za pongezi zimeshaaza kumiminika studio za CNN na kutangaza za kwanzo ni kutoka kwa Bush, katika alamu hizo za Bush, ndia kaeleza kuwa Obama amempigia simu kumtaarifu kama mtu wa kwanza kupokea taarifa hizi baada ya Obama kuzipata.

Kama Bush alikuwa mtu wa kwanza kuhabarishwa basi Obama atakuwa kafanya jambo la kiungwana sana.
 
We need to know if this man is dead too or not

zawahiri_point.jpeg


Boy Osama was living in Mansion in Pakistan, unbelievable. He acts like he was so tough and he can survive in jungle and mountains for long time. Kumbe jamaa ni muongo sana na kawadanganya wengi kweli duniani, good for him
 
Major Operation yoyote lazima ipate green light kutoka kwa rais especially kama inatokea nje ya nchi.

Ni kweli lakini Jamaa amehakikisha anaisema ili kila mtu asikie na aitumie 2012 kama moja ya mafanikio yake
 
Ni mwisho wa enzi!!!!!!!!!!! Na viji-Osama vidogo vidogo hata hapa Tanzania huko Kigoma na Pwani msitabasamu sana.
 
Osama was a coward wenzako wanapigana milimani wewe umejichimbia kwenye mansion mjini...!!
 
Najua kwenye hili lazima Wamarekani watajipa credit hata kama si wao waliomuua. Inawezekana kabisa kuwa kafa kwa ajili ya ugonjwa kwa sababu alikuwa mgonjwa muda mrefu sana.

Mwanzo ilikua "hawamuwezi Osama"; wamemua sasa imekua "inawezekana sio wao, kafa kwa natural causes"; mwee! Jamani we are sceptical all the time
 
Sasa kama osama alikuwa pakistan inakuwaje kuhusu suffering and pain waliopata watu wa afghanistan? Kuishambulia afghanistan kikubwa si ilikuwa huyu mtu?
 
Kivipi sasa?
Hahah mkuu wewe jiandae kusoma posts za kila aina leo lol!!
Hao chicks mbele ya Whitehouse wamekaa kama wataonyesha breasts zao.

Naona Ed Henry anatoa some details hapa ila microphone imekorofisha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom