Mkuu Osama knew a lot, imagine him rambling all the secrets kwenye court room, viongozi wengi kuanzia USA, Saudi Arabia mpaka Pakistan wangevuliwa nguo.What do you mean a can of worms? Huyu si ndo master mastermind mwenye data zote au?
Mkuu Osama knew a lot, imagine him rambling all the secrets kwenye court room, viongozi wengi kuanzia USA, Saudi Arabia mpaka Pakistan wangevuliwa nguo.
Mnaoshangaa Osama kutupwa baharini, majivu ya Adolf Eichmann yalitupwa baharini vile vile kwa sababu i)kulikuwa hakuna nchi ya kumzika ii)Israel hawakutaka mashabiki wake wawe na sehemu ya kwenda kutolea kumbukumbu.
Wanaomlilia Osama wanalalamika kazikwa baharini mbona yeye Osama hakuwapa nafasi aliokuwa akiwaua nafasi hata ya kuombewa na kuzikwa kama yeye? Wengine waliyeyuka wakati majengo yanayeyuka na hakuna hata traces zao zilizopatikana. Yeye ana bahati sana kuzikwa baharini. Amshukuru Mungu wake.
Salute mkuu.Hivi ni nchi gani ziliombwa ardhi yao kumzikia Osama na zikakataa?
Salute mkuu.
Well Saudi Arabia was out of the equation kwa sababu walisitisha uraia wake tangu zamani, na kutokana na nilichoona kwenye Sky News the other day wanasema Saudia waligoma baada ya kuombwa. That left Yemen, sidhani US wange-dare kwenda kumzika uko. Nionavyo mimi walikuwa wameshaamua kuutupa mwili wake majini ata kabla hawajaomba nchi ya kumzikia.Hivi ni nchi gani ziliombwa ardhi yao kumzikia Osama na zikakataa?
Well Saudi Arabia was out of the equation kwa sababu walisitisha uraia wake tangu zamani, na kutokana na nilichoona kwenye Sky News the other day wanasema Saudia waligoma baada ya kuombwa. That left Yemen, sidhani US wange-dare kwenda kumzika uko. Nionavyo mimi walikuwa wameshaamua kuutupa mwili wake majini ata kabla hawajaomba nchi ya kumzikia.
Mkuu mimi sifahamu na wala sijasikia nchi hata moja kuobwa kutumika kama kaburi la Osama...!Mazee, wewe unajua nchi zilizokataa jamaa kuzikwa kwenye ardhi zao (kama kweli wamemuua)?
NN wewe matata sana...! Kwi kwi Kwi kwi Kwi kwi Kwi kwiMazee wewe umeiona maiti yake?
Nimesema nimeona maiti yake? To answer your question ni sijaiona maiti yake na sina nia ya kuiona.Mazee wewe umeiona maiti yake?
Nimesema nimeona maiti yake?
To answer your question ni sijaiona maiti yake
na sina nia ya kuiona.
Sasa kwa wale wanasema Osama hajafa, ooh kafa miaka ya nyuma mkiombwa ushahidi kama mlivyoshupalia mpewe ushahidi mtatoa au ndio tutaishia kupiga yengele kama kawaida yetu wabongo?
Mimi kuna video oja nimepata kuiangalia bibi Bhuto alitamka kuwa Osama aliuliwa, ila kuna wanaopinga kauli yake kwa kusema kuwa amekosea.Sasa kwa wale wanasema Osama hajafa, ooh kafa miaka ya nyuma mkiombwa ushahidi kama mlivyoshupalia mpewe ushahidi mtatoa au ndio tutaishia kupiga yengele kama kawaida yetu wabongo?
Wamarekani ndo wanadai wamemuua na picha wanazo. Sasa kwa nini hawazitoi? Visingizio walivyovitoa havina mshiko kabisa. Na dogo wa Gadaffi huwezi kabisa kumlinganisha na Osama. Kwanza wangapi dunia hii wanamjua huyo dogo kwa jina lake?
Osama ni "trophy" bana.....
Mimi naamini moja kwa moja kuwa hii ni propaganda ya Obama ili kufuta mapungufu yake juu ya kutotunza ahadi zake wakati wa kugombea urais including kutoingiza tena Marekani katika vita!
Mind you guys uchaguzi uko mlangoni Amerika unadhani atakuja na ajenda gani ya kuwa convince wamarekani kumchagua tena kama sio "kupiga pentagon" he is trying hard to win back American buoyancy to his leadership!