Osama bin Laden killed!

Osama bin Laden killed!

Status
Not open for further replies.
hawawezi kudanganya, unajua wamarekai wanazo hadi sample za DNA za osama, hivyo wakiwa na mwili wake watakuwa na uhakika kuwa huyo waliyemwua ni yeye au la, kwasababu hata wakichukua m.a.vi yake tu aliyo.ku.ny.a sehemu anapokimbia mabom, wakilinganisha na zile sample zao walizonazo watajua kam ani yeye ameuawa au ni mwenyemandevu mwingine...so nafikiri wanachosema ni cha kweli.
 
hakuna mtu atakaye kuwa na uwezo wa ku i finance al-qaeda kama OSAMA
 
Kuna siku tutasema:

1. Alikuwepo Osama.

2. Alikuwepo CCM.....

3. Alikuwepo Ridhiwan ................

Ajabu ni kuwa, wakiwa TOP, wanajisahau kuwa wanaweza kuanguka mweleka mbaya sana.....
so you mean after Osama who is next? Obviosly is CCM
 
hakuna mtu atakaye kuwa na uwezo wa ku i finance al-qaeda kama OSAMA

mkuu wapo wengi wamejificha kwa mgongo wa osama, hata leo hii ukitengeneza bomu ukalilipua ubalozi wa marekan jamii ingesema ni osama kumbe hata hukutumwa na huyo osama. osama katengeneza falsafa tu ya watu kutumia jina lake ndo maana naseama kafa mwili, roho bado ipo.
 
Hatimaye baada ya kuwashawishi vijana wengi wajitoe mhanga ili wafaidi mabikira 70 wenye macho kama vikombe kwenye Pepo ya mungu wao umefikia wakati na yeye Akafurahie ''hiyo zawadi ya mungu wake ila Yeye aligoma kujitoa mhanga mpaka aliposaidiwa bila kufa bila kupenda, '' poleni wapenzi wa Ugaidi!

Satan must be jubilant to receive Osama in hell''
Though sorrow may last for the night joy will come in the morning!!!
 
Tangazo la kifo cha Osama ni aibu nyengine zitakazowaandama maraisi wa Marekani.Osama hawezi kuwa huyu.Miaka yote hiyo bado ana picha ile ile ya shuleni,hazeeki?.Kwanini wamzike baharini?.
Hawakwenda mwezini,hawajakamata silaha za Maangamizi na wala hawajamuua Osama.


osam.jpg
 
mkuu wapo wengi wamejificha kwa mgongo wa osama, hata leo hii ukitengeneza bomu ukalilipua ubalozi wa marekan jamii ingesema ni osama kumbe hata hukutumwa na huyo osama. Osama katengeneza falsafa tu ya watu kutumia jina lake ndo maana naseama kafa mwili, roho bado ipo.

wataje sasa
 
Hapa ni Tangazo la kufa kwa Osama ndilo linajadiliwa?!

Nani kati yetu anaweza kututhibitishia kuwa Tangazo limetoka wakati muhafaka? Nani anajua Tangazo limetoka baada ya kumuuwa au la!

Myt: Marekani ilimuuwa Osama siku nyingi sana ila muda na dhamira ya kutangaza kufa kwake ilikuwa bado, sasa ni wakati muhafaka kwa Marekani kutangaza kifo hicho.

Tujadili jinsi watoto wa Maskini wa Afrika walivyo kuwa wanatumikishwa na Osama kulijilipuwa na kuleta maafa makubwa kwa upewo mdogo wa akili, wakipoteza maisha yao na maisha ya Binadamu wengine wasio na hatia kwanini Ndugu zake Osama wa Uarabuni hawakuwai kujilipua hata siku moja katika Operation za Osama bali ni Waafrika.
 
Sisi tuliozoea kuhojiana na watu huwa tunagundua uwongo kirahisi.Njia ya muongo ni fupi.Kwani Afghanistan wanakosema waliupeleka mwili wa Osama kuna bahari?
 
Siamini Kwamba Osama Kauliwa, Picha Za photoshop Zanaonekana kabisa, Mnakumbuka wakati wanamuua Sadam Hussein Mbona Picha ziliwekwa nyingi na za dimension, size na side mbali mbali??

How Come huyu wasiweke picha hata Moja??,

My Take: Siamini kwa Kuwa Watu wa Al Q wenyewe hawajathibitisha!


Swali lingine Kwani Balali alikufa??, nani anajua utofauti wa story ya Balali na stori ambazo Obama Anatugongea leo??

Period!.
 
kwann hakuwa na management yake? lazima wapo, + mataifa maadui wa marekani.

wapo ndio ila hawana nguvu na hawatakuwa na nguvu kama ya papaaa Osama muttoto ya bin laden. na hao watu mfano wake ni kama al -shabib sasa al-shabibu wale si wapo chali wale operation ya masaa mawili tu inawamaliza
kwanza wachek majeshi yao
images
images
pirates.jpg
 
Kuna aliyeona picha yake au video footage ya maiti yake? Au watu tunakubali tu kuwa kweli kafa.....?
 
Hivi bado kuna mtu anaamini Al qaeda ndio walipanga na kutekeleza 911?

Wacha sisi wajinga tuamini hivyo, ila wewe mwerevu amini kwamba ni CIA ndio walifanya hivyo, kwa sababu Mohamed Attar kinala wa yale mashambulizi ni CIA. NA sio Al qaida.
 
haya majina mawili yanachanganya, nimemsikia mtu anasimulia hili tukio kwa ku'address

OSAMA amemuua OBAMA
.............. lol ndo mana wamewezana.........
 
Hahahaha mkuu, I know kuna watu hii habari si nzuri kabisa kwao kuelekea 2012. There will be a lot of consipiracy theories to distort the truth. Obama got him!

Oh yeah? So where is his body, have you seen it?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom