Dodoma Demand
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 130
- 74
- Thread starter
- #21
SEX HAMNA JF USIELEWE TU, HUWAGA NAELEWA NYEGE, KAOA KABILA LAKE, HUYU ..... HATAKIWIHeleweki buana
SEX HAMNA JF USIELEWE TU, HUWAGA NAELEWA NYEGE, KAOA KABILA LAKE, HUYU ..... HATAKIWIHeleweki buana
SEX HAMNA JF USIELEWE TU
Nandaa mtihani... SomaUmeamua kuandika kilugha🙄🙄
Nandaa mtihani... Soma
LA JF UNATAKA LIWE DARASA - USISHAU KUANDAA CURRICULUM YA JFUna faida yoyote kwangu???
LA JF UNATAKA LIWE DARASA
KAMA UNTAKA UELEWE TWENDE UDSM ZIPCODEOk kazi kwenu
KAMA UNTAKA UELEWE TWENDE UDSM ZIPCODE
Nimejaribu kuahesabu haya makabila, yako 138. Kwa hiyo, tunaposema makibla zaidi ya 120 si kweli ila ni zaidi ya 130?LA JF UNATAKA LIWE DARASA - USISHAU KUANDAA CURRICULUM YA JF
CCM HOYESihitaji chochote
Kweli wanadamu waliamua kufikiri!?Nimejaribu kuahesabu haya makabila, yako 138. Kwa hiyo, tunaposema makibla zaidi ya 120 si kweli ila ni zaidi ya 130?
Hii orodha ina shida. Mfano: Wamang'ati, Wabarbaig na Wadatooga hawa wote ni kabila hilo hilo moja.
mie ndo kabisaa sijaelewa nimemeza padol badala ya panadolHeleweki buana
Hii orodha ya makabila ya Tanzania inaweza kuwa na matatizo kwenye majina kadhaa, kwa sababu mbalimbali.
Orodha hii inatokana na orodha ya lugha za Tanzania inayopatikana katika Ethnologue, pamoja na tovuti nyingine Archived 22 Agosti 2006 at the Wayback Machine..
Inawezekana kwamba baadhi ya majina ya makabila ni majina ya lugha au lahaja tu, badala ya makabila, na labda majina mengine yaliandikwa vibaya.
Juu ya hiyo, hakuna ufafanuzi wa wazi kusema kikundi fulani ni kabila au siyo. Vikundi kadhaa katika orodha hii vina wenyeji mamia tu, lakini vikundi vingine vina mamilioni ya watu; labda kila kikundi kinaitwa "kabila," lakini ni jamii za aina tofauti kabisa. Vikundi katika ukurasa huu vimeorodheshwa kuwa vikundi tofauti kutokana na ushahidi kutoka Ethnologue kutofautisha lugha zao.
Hii ni orodha ya makabila ya watu ambao wamekuwa wanaishi tangu zamani katika eneo ambalo sasa linaitwa Tanzania, pamoja na makabila yaliyogawiwa na mipaka baina ya Tanzania na nchi za jirani.
Orodha hii haizingatii makabila yanayoishi katika Tanzania kama wakimbizi tu, hasa kutokana na vita katika nchi za jirani. Vilevile ukurasa huu hauorodheshi vikundi vya wahamiaji kutoka nchi za kigeni, kama wahamiaji au wazao wao kutoka Uarabuni au Uhindi.
Kwa sasa inakadiliwa kuwepo kwa makabila takribani zaidi ya mia moja na ishirini (120) ambayo hupatikana katika mikoa yote ya Tanzania
- Waakie
- Waakiek
- Waalagwa (pia: Wasi)
- Waarusha
- Waassa
- Wabarabaig (pia: Wamang'ati)
- Wabembe
- Wabena
- Wabende
- Wabondei
- Wabungu (au Wawungu)
- Waburunge
- Wachagga
- Wadatoga
- Wadhaiso
- Wadigo
- Wadoe
- Wafipa
- Wagogo
- Wagoma
- Wagorowa (pia: Wafiome)
- Wagweno
- Waha
- Wahadzabe (pia: Wahadza na Watindiga)
- Wahangaza
- Wahaya
- Wahehe
- Wahinda
- Wahutu
- Waikizu
- Waikoma
- Wairaqw (pia: Wambulu)
- Waisanzu
- Waissenye
- Wajaluo
- Wajiji
- Wajita
- Wakabwa
- Wakaguru
- Wakahe
- Wakami
- Wakara (pia: Waregi)
- Wakerewe
- Wakimbu
- Wakinga
- Wakisankasa
- Wakisi
- Wakonongo
- Wakuria
- Wakutu
- Wakw'adza
- Wakwavi
- Wakwaya
- Wakwere (pia: Wanghwele)
- Wakwifa
- Walambya
- Walongo
- Waluguru
- Walungu
- Wamachinga
- Wamagoma
- Wamahanji
- Wamakonde
- Wamakua (au: Wamakhuwa)
- Wamakwe (pia: Wamaraba)
- Wamalila
- Wamambwe
- Wamanda
- Wamanyema
- Wamasai
- Wamatengo
- Wamatumbi
- Wamaviha
- Wambugwe
- Wambunga
- Wameru
- Wamosiro
- Wampoto
- Wamwera
- Wandali
- Wandamba
- Wandendeule
- Wandengereko
- Wandonde
- Wanena
- Wangasa
- Wangindo
- Wangoni
- Wangulu
- Wangurimi (au: Wangoreme)
- Wanilamba (au: Wanyiramba)
- Wanindi
- Wanyakyusa
- Wanyambo
- Wanyamwanga
- Wanyamwezi
- Wanyanyembe
- Wanyasa
- Wanyaturu (pia: Warimi)
- Wanyiha
- Waokiek
- Wapangwa
- Wapare (pia: Wasu)
- Wapimbwe
- Wapogolo
- Warangi (au: Walangi)
- Warufiji
- Warungi
- Warungu (au: Walungu)
- Warungwa
- Warwa
- Wasafwa
- Wasagara
- Wasandawe
- Wasangu (Tanzania)
- Wasegeju
- Washambaa
- Washirazi
- Washubi
- Wasizaki
- Wasuba
- Wasukuma
- Wasumbwa
- Waswahili
- Wataveta
- Watemi (pia: Wasonjo)
- Watongwe
- Watumbuka
- Wavidunda
- Wavinza
- Wawanda
- Wawanji
- Waware (lugha yao imekufa)
- Wayao
- Wazanaki
- Wazaramo
- Wazigula
- Wazinza
- Wazyoba
Orodha ya makabila ya Tanzania - Wikipedia, kamusi elezo huru
sw.wikipedia.org
Sijaona waarabu, wahindi, watusi, wasomali nk, orodha fanya kui-apdate maana wote tuko nao hapa
Waware wanapatikana mkoa gani TanzaniaHii orodha ya makabila ya Tanzania inaweza kuwa na matatizo kwenye majina kadhaa, kwa sababu mbalimbali.
Orodha hii inatokana na orodha ya lugha za Tanzania inayopatikana katika Ethnologue, pamoja na tovuti nyingine Archived 22 Agosti 2006 at the Wayback Machine..
Inawezekana kwamba baadhi ya majina ya makabila ni majina ya lugha au lahaja tu, badala ya makabila, na labda majina mengine yaliandikwa vibaya.
Juu ya hiyo, hakuna ufafanuzi wa wazi kusema kikundi fulani ni kabila au siyo. Vikundi kadhaa katika orodha hii vina wenyeji mamia tu, lakini vikundi vingine vina mamilioni ya watu; labda kila kikundi kinaitwa "kabila," lakini ni jamii za aina tofauti kabisa. Vikundi katika ukurasa huu vimeorodheshwa kuwa vikundi tofauti kutokana na ushahidi kutoka Ethnologue kutofautisha lugha zao.
Hii ni orodha ya makabila ya watu ambao wamekuwa wanaishi tangu zamani katika eneo ambalo sasa linaitwa Tanzania, pamoja na makabila yaliyogawiwa na mipaka baina ya Tanzania na nchi za jirani.
Orodha hii haizingatii makabila yanayoishi katika Tanzania kama wakimbizi tu, hasa kutokana na vita katika nchi za jirani. Vilevile ukurasa huu hauorodheshi vikundi vya wahamiaji kutoka nchi za kigeni, kama wahamiaji au wazao wao kutoka Uarabuni au Uhindi.
Kwa sasa inakadiliwa kuwepo kwa makabila takribani zaidi ya mia moja na ishirini (120) ambayo hupatikana katika mikoa yote ya Tanzania
- Waakie
- Waakiek
- Waalagwa (pia: Wasi)
- Waarusha
- Waassa
- Wabarabaig (pia: Wamang'ati)
- Wabembe
- Wabena
- Wabende
- Wabondei
- Wabungu (au Wawungu)
- Waburunge
- Wachagga
- Wadatoga
- Wadhaiso
- Wadigo
- Wadoe
- Wafipa
- Wagogo
- Wagoma
- Wagorowa (pia: Wafiome)
- Wagweno
- Waha
- Wahadzabe (pia: Wahadza na Watindiga)
- Wahangaza
- Wahaya
- Wahehe
- Wahinda
- Wahutu
- Waikizu
- Waikoma
- Wairaqw (pia: Wambulu)
- Waisanzu
- Waissenye
- Wajaluo
- Wajiji
- Wajita
- Wakabwa
- Wakaguru
- Wakahe
- Wakami
- Wakara (pia: Waregi)
- Wakerewe
- Wakimbu
- Wakinga
- Wakisankasa
- Wakisi
- Wakonongo
- Wakuria
- Wakutu
- Wakw'adza
- Wakwavi
- Wakwaya
- Wakwere (pia: Wanghwele)
- Wakwifa
- Walambya
- Walongo
- Waluguru
- Walungu
- Wamachinga
- Wamagoma
- Wamahanji
- Wamakonde
- Wamakua (au: Wamakhuwa)
- Wamakwe (pia: Wamaraba)
- Wamalila
- Wamambwe
- Wamanda
- Wamanyema
- Wamasai
- Wamatengo
- Wamatumbi
- Wamaviha
- Wambugwe
- Wambunga
- Wameru
- Wamosiro
- Wampoto
- Wamwera
- Wandali
- Wandamba
- Wandendeule
- Wandengereko
- Wandonde
- Wanena
- Wangasa
- Wangindo
- Wangoni
- Wangulu
- Wangurimi (au: Wangoreme)
- Wanilamba (au: Wanyiramba)
- Wanindi
- Wanyakyusa
- Wanyambo
- Wanyamwanga
- Wanyamwezi
- Wanyanyembe
- Wanyasa
- Wanyaturu (pia: Warimi)
- Wanyiha
- Waokiek
- Wapangwa
- Wapare (pia: Wasu)
- Wapimbwe
- Wapogolo
- Warangi (au: Walangi)
- Warufiji
- Warungi
- Warungu (au: Walungu)
- Warungwa
- Warwa
- Wasafwa
- Wasagara
- Wasandawe
- Wasangu (Tanzania)
- Wasegeju
- Washambaa
- Washirazi
- Washubi
- Wasizaki
- Wasuba
- Wasukuma
- Wasumbwa
- Waswahili
- Wataveta
- Watemi (pia: Wasonjo)
- Watongwe
- Watumbuka
- Wavidunda
- Wavinza
- Wawanda
- Wawanji
- Waware (lugha yao imekufa)
- Wayao
- Wazanaki
- Wazaramo
- Wazigula
- Wazinza
- Wazyoba
Orodha ya makabila ya Tanzania - Wikipedia, kamusi elezo huru
sw.wikipedia.org
Ni kweli kabisa kwa umanambaHebu weka na idadi ya makabila uone Wasukuma walivyo pasua, huenda ikawa idadi sawa na dar + zanzibar