mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,234
- 959
Nani kakudanganya chama cha siasa kinauawa na kundi la vichekesho
Kuna wakati Bernard Membe alisema serikali ya Ghadafi haiwezi kuangushwa kwa pickup. Wote tunajua kilichotokea
Nani kakudanganya chama cha siasa kinauawa na kundi la vichekesho
Hongera kwa kujitambua kuwa umsukule...Vijana wanaojitambua wote huwa tupo ccm huo ndio ukweli iseee.
Teh teh teh teeh.... Division 5 oyeeeee!!
Hovyo mwenyewe usiejitambua na bado mtaandamana mpaka visigino viishe, wenzenu wanakula raha madubai huko.
Mwenezi unashabikiaje Maigizo ya akina Masanja? Yaani Mtu Mzima Mwenezi unapoteza Muda wako kuangalia MAIGIZO? Nimekudharau sana
Wewe ni msaliti. Mambo ya chademu hayasemwi hadharan
You must be jocking, cdm kuuwawa na kaigizo ka original comedy! mbona walipowaigiza viongozi wa ccm enzi zile, ccm haikufa! hao madogo wana ganga njaa tu.cdm kwishaa kabisa
Mbowe anawashikisha adabu kweli kweli
Umeeleza vizuri kuwa "...Wameigiza...." uzuri wa maigizo hubaki kuwa igizo, wakumbushe wiki ijayo waigize namna wananchi wanapo nunua umeme wa elfu10 nyuso zao zinaonekanaje halafu igizo hilo lisome uhalisia.
Ukweli mchungu kwa chama cha siasa kuuwawa kwa igizo la ze comedy?! you cant be serious!
Umeeleza vizuri kuwa "...Wameigiza...." uzuri wa maigizo hubaki kuwa igizo, wakumbushe wiki ijayo waigize namna wananchi wanapo nunua umeme wa elfu10 nyuso zao zinaonekanaje halafu igizo hilo lisome uhalisia.
Umeeleza vizuri kuwa "...Wameigiza...." uzuri wa maigizo hubaki kuwa igizo, wakumbushe wiki ijayo waigize namna wananchi wanapo nunua umeme wa elfu10 nyuso zao zinaonekanaje halafu igizo hilo lisome uhalisia.