Original Commedy yaivua nguo CHADEMA!

Original Commedy yaivua nguo CHADEMA!

Hivi OK komedy ipo bado?
Maana tangia wawe wanaonyeshwa TBC-CCM,tv isiyopendwa na watanzania,wamebaki kuingiza mambo ya CHADEMA ili kupata kiki.Mambo yote ni comedy ya EATV siku hizi!Hao walishachuja!
 
Hao commedy hawana jipya...zaidi magamba wanawatumia kama condoms.
Njaa ni mbaya sana
 
Wameigiza ugomvi wa Zitto na Mbowe!

" msiporekebisha magomvi yenu mtasoma namba za tawala mpaka mna rest in peace!" Masanja Mkandamizaji

Mwenezi unashabikiaje Maigizo ya akina Masanja? Yaani Mtu Mzima Mwenezi unapoteza Muda wako kuangalia MAIGIZO? Nimekudharau sana
 
Vijana wanaojitambua wote huwa tupo ccm huo ndio ukweli iseee.
 
Wameigiza ugomvi wa Zitto na Mbowe!

" msiporekebisha magomvi yenu mtasoma namba za tawala mpaka mna rest in peace!" Masanja Mkandamizaji

Ni wapuuz tu hao, wachumia tumbo wangekuwa wanafanyia chanel 10 au itv wasingeiponda CDM
 
Mbona wamemuigiza na Kagasheki kwamba alimngata sikio Pinda akamuomba amwambie Kikwete asimsahau hlf wakaonyeshwa wale mawziriwalivyogoma kutoa funguo za Vx hii nayo tuseme wameisema cdm?
 
mama mzazi(wa kumzaa)wa mleta uzi awe makini anapoenda chooni asije akapigwa picha na kuletwa jf,nina mashaka na utimamu wa akili yake.kama maigizo yanakuwa mada!mhhhj.
 
Vijana wanaojitambua wote huwa tupo ccm huo ndio ukweli iseee.

Labda vijana mamburula wasiojitambua lakini sio sisi ambao tumesoma na kuelimika. Si ndonyie mnaofanywa misukule na viongozi wenu wa chama kwa kuwachezea ngoma mnakatika viuno huku wenzenu wakiwasanifu hovyo kabisa
 
Huyo masanja muuza unga tu, unategemeaaa nini toka kwake
 
yaani kuwa mfu ni shida kweli kweli! hivi unategemea kipindi cha tbc, television ya chama, kitaongelea vizuri suala lolote la chadema? go back to hell...
 
waende zao wamemtoa kafara mwenzao mpaka leo hasimami ni wakulala tu kule kigamboni, wao wanapiga madili ya madawa, mc na indigo.

Sidhani kama ni kweli kwani Dogo Ulevi wake na Uhuni wake wa Akina Dada haswa Pale ktk Hotel Ya Maifea Kawe ndivyo Vimemponza na Namjua Kindakindaki. Na Ukitaka zaidi kuyajua Ya Dogo nenda Kawe utazipata Kwani haya niliyosema hapa ni Machache Sana. Kikubwa tu Tumuombee Tiba Yake Ya Sasa Imsaidie na Apone ila Huwezi Amini Dogo bado Anamaindi Sana Bierre!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
wakina masanja awajaanza kuwaponda chadema leo.....ni desturi yao, ndio maana watanzania wengi wanaangalia FUTUHI....
 
Hovyo mwenyewe usiejitambua na bado mtaandamana mpaka visigino viishe, wenzenu wanakula raha madubai huko.
Labda vijana mamburula wasiojitambua lakini sio sisi ambao tumesoma na kuelimika. Si ndonyie mnaofanywa misukule na viongozi wenu wa chama kwa kuwachezea ngoma mnakatika viuno huku wenzenu wakiwasanifu hovyo kabisa
 
Nani kakudanganya chama cha siasa kinauawa na kundi la vichekesho

CCM wanaamini hivyo ndio maana nao wamejigeuza kundi la commedy. Tazama leo walivyo bowa kwa kumtaka mgombea Udiwani wa Chadema aache kutumia jina lake.
 
Waganga njaa wale na uelewa wao ni mdogo kwenye siasa.

Japo ni kweli Wanaganga Njaa na Uelewa Wao ni Mdogo ila Kimaisha Yawezekana Wengi Wetu Hatuwafikii hawa Vijana Kwani Wamefanikiwa Sana Japo Tunawadharau. Fanya Utafiti wako kwa Mmoja Mmoja Wao Kimafanikio na Utaniambia. Tuache kuwadharau na Walichokifanya ni Sehemu tu Ya Kufikisha Ujumbe na Mbona Waliwapiga Madongo hata Mawaziri wa CCM na Handsome Boy Wao? au hatukuliona hilo Tukio na Tumeliona tu la Mbowe na Kabwe?
 
Mnajifanya mnauchungu na nchi hii hakuna lolote wote wapiga dili tu wezi wakichaga nyie nyoooooooo tumewasitukiaa.
 
Back
Top Bottom