Original Commedy yaivua nguo CHADEMA!

Original Commedy yaivua nguo CHADEMA!

Tv yenyewe wanayotumia ni TBC jamani nani anaangalia tbc leo? Hata mleta habari sijui alipitiwa au ni mmoja wao wa wapinga demokrasia hapa nchini
Vijana wanaganga njaa mjini.Lakini Tbc wasipo kuwa makini na hao vijana kujikita na kampeni za ccm hata wachache wanao angalia TBC wata sepa wote
 
Wameigiza ugomvi wa Zitto na Mbowe! " msiporekebisha magomvi yenu mtasoma namba za tawala mpaka mna rest in peace!" Masanja Mkandamizaji
Maskini vijana hawajui siasa chafu za ccm za kumnunua Zito.Bahati nzuri wana cdm wanajua ndiyo maana huoni mtikisiko wa dhahiri zaidi ya ule unao igizwa na maccm.
 
Wameigiza ugomvi wa Zitto na Mbowe! " msiporekebisha magomvi yenu mtasoma namba za tawala mpaka mna rest in peace!" Masanja Mkandamizaji
Ni mjinga tu anayeweza kufikiri ccm wanataka suruhu na Zito.Kilio cha ccm kikuu ni kuona wamempa hela Zito aimalize cdm halafu haijaisha.Wana tamani asifukuzwe yamkini ajaribu tena kuliko mkenge walio ingizwa
 
Wameigiza ugomvi wa Zitto na Mbowe! " msiporekebisha magomvi yenu mtasoma namba za tawala mpaka mna rest in peace!" Masanja Mkandamizaji
Kama Zito alikuwa msaada kwa chadema si ndiyo vizuri Kwenu maccm mpate mtelemko akifukuzwa?
 
masanja na wenzake kwanza ni mashoga, nakumbuka waliletwa igunga kukapaign ccm wakizani watazua hamasa, hakuna lolote wale njaa saaaana ndo mana wanaliwa kabang!
 
Wameigiza ugomvi wa Zitto na Mbowe!

" msiporekebisha magomvi yenu mtasoma namba za tawala mpaka mna rest in peace!" Masanja Mkandamizaji

kwani lini CHADEMA walivaa nguo? siku zote si wapo uchi tu!
 
Inauma sana ila ujumbe unafika haraka na vizuri sana kupitia maigizo; wasiojua hujua na kufahamu..! Nawatu wengi huamini kua waigizaji huigiza mambo yakweli!
 
Ukweli mchungu sana huu , maana MBOWE sasa hivi ni kama anatembea uchi wa mnyama kwa aibu za uzinzi na wizi wa fedha za hongo ya mkono na rostam

!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!??
 
You can PROMOTE or KILL anything with your EMOTION.
That means collective EMOTION, meaning EMOTION of MANY can easily IMPLEMENT or ABOLISH any wanted or unwanted behavior. This is why POLITICIANS spend a lot of their TIME and their MONEY to control what is said and what is not said about them to the public.
 
What is EMOTION?!

(According to Merriam Webster Dictionary)
Emotion is;

a : the Affective aspect of consciousness (FEELING)

b : a state of feeling
c : a conscious mental reaction (as anger or fear) subjectively experienced as strong feeling usually directed toward a specific object and typically accompanied by physiological and behavioral changes in the body
 
Ukweli mchungu sana huu , maana MBOWE sasa hivi ni kama anatembea uchi wa mnyama kwa aibu za uzinzi na wizi wa fedha za hongo ya mkono na rostam

Hapa hakuna mada ya MBOWE.kuna mada ya Original comedy na mgogoro wa cdm,jitawale kiakili.usipende kutumwa tumwa,hizo ni tabia za mbwa koko.
 
wale njaa imewapeleka pale vijana watapotea siasa n dirty game
 
Back
Top Bottom