Original Commedy yaivua nguo CHADEMA!

Original Commedy yaivua nguo CHADEMA!

hawa ni wapiga kampeni wa ccm kwenye uchaguzi mkuu, usitegemee waisifie cdm
Tv yenyewe wanayotumia ni TBC jamani nani anaangalia tbc leo? Hata mleta habari sijui alipitiwa au ni mmoja wao wa wapinga demokrasia hapa nchini
 
Hawa jamaa hawana jipya tena, kwisha habari yao mtu hawezi poteza mda wake kutazama olojino comedy kwani wako kwa manufaa ya serikali na siwananchi....
 
Watu wengi mikoani wameomba kipindi kirudiwe wamekunwa sana baada ya kuona usanii wa vyama vya upinzani
 
Mbona huongelei ufisadi unaofanywa na wananchi kuharibu miundo mbinu ya tanesco??? hivi hufikirii kuwa gharama za kuweka miundombinu mingine ni hasara pia? ifidiwe na nani?

Kwa nini watu wanaiba? Kwa nini biashara ya vyuma chakavu na nyaya haidhibitiwi japo wezi wamekuwa wakihujumu miundo mbinu kila siku ili wapate vyuma na nyaya kwa ajili yakuviuza?
 
Mpuuzi kweli wewe , mambo ya komedy unaleta JF! Kwanza ile tu kukaa mbele ya tv unaangalia komedy peke yake inatosha kujua akili yako ni ya shule za kata.
 
Niliacha kuangalia comedy ya hao jamaa maana hawana tena ubunifu,wamebaki kukampenia chama kinachowaweka mjini na kusahau dhima nzima ya fani yao.
 
Ukweli mchungu sana huu , maana MBOWE sasa hivi ni kama anatembea uchi wa mnyama kwa aibu za uzinzi na wizi wa fedha za hongo ya mkono na rostam

Hivi nyinyi mnaolazimisha tuamini kuwa Mbowe kavuliwa nguo ni wanaume rijali au mashoga? Ni mwanaume gani timilifu, anakula akashiba, ana nguvu za kiume safi, anakaa na dem mmoja au mke wake tu?? Wote tunajua toka enzi za mababu kwamba hakuna mwanaume anaekuwa na bibi mmoja mpaka kufa, nyumba ndogo lazima piga ua, kama hujajaribu its just a matter of time au huna kipato, umefulia ndo mana unajifanya kukaa home. So acheni kutulazimisha kwamba Mbowe kavuliwa nguo kisa eti anadem nje, sasa Kapuya mtasemaje?
Tuacheni wenye meno tutafune mifupa halafu nyie mnameza mate taratiiibu. Mambo ya chumbani sio siasa jamani, mbona kawaida sana.
 
Duuu!! Hao jamaa hivi wapo? Mi niulize Mizengwe cha akina maringosaba,sumaku, ------,Mzee matata na safina ndo nakupa ràtiba yote. ITV ndo mpango mzima
 
Mpuuzi kweli wewe , mambo ya komedy unaleta JF! Kwanza ile tu kukaa mbele ya tv unaangalia komedy peke yake inatosha kujua akili yako ni ya shule za kata.
Mkuu mi ni mpenzi wa kuangalia komedi, ila sio hao wapuuzi.
 
Hivi original comedy wapo channel gani tena! Kuna mtu anapoteza Muda wake kuangalia/kuangalia.
 
Naomba wiki ijayo waoneshe either EL Vs. Mangula au Mnaga Msindai Vs. Msukuma.. Au wakishindwa kabisa waoneshe ile episode ya Prof Kapuya
 
Umeeleza vizuri kuwa "...Wameigiza...." uzuri wa maigizo hubaki kuwa igizo, wakumbushe wiki ijayo waigize namna wananchi wanapo nunua umeme wa elfu10 nyuso zao zinaonekanaje halafu igizo hilo lisome uhalisia.
Kama Masanja anaweza kuua cdm kulikuwa na hajagani kumlipa Zito mabilioni ya hela kujaribu kuua cdm?Siwange sema watumie tu TBC kuua maramoja cdm?
 
Back
Top Bottom