kisugujira
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 774
- 200
Umeeleza vizuri kuwa "...Wameigiza...." uzuri wa maigizo hubaki kuwa igizo, wakumbushe wiki ijayo waigize namna wananchi wanapo nunua umeme wa elfu10 nyuso zao zinaonekanaje halafu igizo hilo lisome uhalisia.
Watawala wetu hawana dira kwani wamekosa maarifa! Walishasema "Liwalo na liwe" na kweli tunaona mambo yanavyokwenda shaghalabaghala! Wanaiba bila haya! Sasa hivi umeme wa shilingi 20,000/- unapata units 35.50kwh wakati zamani kabla ya kupandishwa na wezi hawa ilikuwa unapata units mara mbili ya sasa!