Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,946
- 54,220
Yaani mleta uzi na genge lake wanajidai kuitikia maoni ya watu kwa upooole utadhani watu!!!Kuna kitu kinachokozwa si bure.
Wana jamvi wasalam.
Wakati UKAWA wakiwa na mpango wa kufanya maandamano nchi nzima ya kupinga kwa kile wanacho kisema ni unyanyasaji na ukandamizaji wa demokrasia.
Huku kukiwa na katazo kubwa sana la kuzuia maandamano hayo. Baadhi ya wake wa viongozi waandamizi wa UKAWA wameanza kufunguka na kueleza jinsi ambavyo wamekuwa wakiwasihi waume zao kuachana na mpango huo kwani unaweza kuwapa tabu wao na wataumia.
Aliye kuwa wa kwanza kufunguka kwenye ukurasa wake wa mtandao wa picha ni Bi Joyce Kiria mke wa Ndug Henry Kilewo ambaye ni kiongozi ndani ya chadema.
Alisema amekuwa akimsihi kila leo kuwambia wenzie watafute njia nyingine kwani njia wanayo taka kutumia hawato fanikiwa.. Aliweka wazi kabisa kuwa tofauti na Mh JK ambaye alikuwa akiwachekea na pengine kuwaalika ikulu kunywa nao chai wanapo tofautiana huyu wa sasa hana muda huo na wasimchokoze..
Bi Joyce Kiria alienda mbali na musema alimwambia mumewe kuwa aangalia future ya watoto wake na familia na alinganishe na huo UKUTA.
Pia aliwaomba wanawake wa viongozi wa UKAWA waungane kuwasihi waume zao kuachana na mpango huo na kutafuta njia nyingine ya kutatua migogoro hiyo na si maandamano.
Wana jamvi kama mtakumbuka kipindi cha Mh JK Kilewo alishakumbwa na case kubwa iliyo mpelekea mkewe kuzunguka kwenye vyombo vya habari kuomba huruma ya Rais mmewe aachiwe hivyo anaongea anacho kifahamu.
Wana jamvi karibuni.
View attachment 374852View attachment 374853View attachment 374854
Hapo ndio ninapopingana na wewe,niwekee qoute ambayo nimemuattack Lembeli!Binafsi naamini kila mtu yuko huru kuwa kokote anakotaka!ni kweli i am very insane!!
il hata mimi siwezi kubishana na mwana mipasho
Wewe ndio mtaalamu wa kuona mimi nimekwepa hoja, ila wewe hujioni unavyoikimbia hoja??
kebehi zinazomuendea Lembeli sasa hivi ni za nini??.. kwani Lembeli alipozungumza alikizungumzia chama ana nafsi yake?? iweje muamue
kumu attack?? au kwasababu Lembeli hakutumia fake ID??
Wewe endelea kushikishwa ukuta na mwenyekiti wenu maana ndicho kitu pekee unaweza zaidi..
Hahaha natamani kumuona akiwa na mwanae na mkewe.
NILIDHANI ANAWASHAURI WASISHIKILIE UKUTA WAMPE KICHUMA MBOGAUshauri mzuri sana huu, ufanyiwe kazi.
Mkuu hili neno "mtemakuni" umekaririshwa auu??Tehetehetehe. Na Magufuli kawaambia watangulie wao kwenye maandamano wakione cha mtema kuni
Vipi umeshashika Ukuta?Sasa na wewe mleta Mada unataka kumsihi nani?
Halafu ninachoona huu mjadala baadhi ya watu wa CCM watamtukana na kumdhalilisha Joyce wakijifanya kuwa ni watu wa CHADEMA.
Lengo kuleta mgawanyiko na kujenga chuki za ndani kwa ndani na kutoa watu kwenye ajenda
Huu uzi ni wa kupuuza
Tusimpuuze kiasi hiki jamani. Hatuwezi kujua pengine yeye ni miongoni mwa wake wa viongozi wa chadema.Huyu mleta mada ni punguani
Achana naye huyo! Kwani kila mwanamme anachoambiwa na mkewe lazima afuate?Mambo yako ya kwenye kitchen party peleka huko huko kwenye magroup yenu kashawishaneni huko huko unakoelekea utatuletea ujinga mwingine hapa uzi huu wa kupuuzwa eti wake Wa viongozi Wa ukawa wewe ni mke Wa Kiongozi yupi ?
Huyu sio dikteta anajifunza. Ndio maana ya dikteta uchwara! Ndio maana tunamzuia asifike huko! By the way, inaonekana Magu anafurahia kuitwa dikteta!Nchi ingekuwa na udikteta mgepata hata nafasi ya kusema kuna udikteta?
Usihangaike nae huyo hajui nguvu ya ushawishi iliyopo kiunoni mwa wake zetu..Hivi una mtoto? Una mke?
"Watangulie wao wasiwatangulize watoto wa maskini kwa kuwanywesha 'viroba"Kamanda hakikisha siku hiyo unaongoza msafara.. Bila kusahau Clinton Mbowe, Dudley Mbowe, Richard Lowassa na Fred Lowassa wawe mbele kabisa kwenye hayo maandamano.. Alafu huyo unayemwita darasa la saba na house girl ni mke wa kiongozi wako huko chamani. Ni mke halali anayefahamika na Jamhuri kwahiyo anayo haki ya kumshawishi mmewe asishiriki hizo porojo zenu