Mapya Yaja
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 560
- 403
Akili iliyoleta hii post ni same level of thinking na ya Joyce Kiria. Eti wake za viongozi!??
Hii post inaonyesha kutokuwa na ujasiri wowote.....hii post haifai kwenda vitani...hii post ina sauti ya mwanamke....mwanamke ni kiumbe dhaifu...hii post yenye sauti ya mwanamke iliyoletwa hapa na mwanamke inaonyesha dhahiri haijawahi kusoma KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO Na SHERIA KWA VYAMA VYA SIASA.....inasikitisha sana ukiisoma post hii iliyoletwa na Mwanamke anayejiona km vile malkia wa Nguvu....pole sana dada Ruttabolwa...sidhani km kuna mwanaume atakaye kuelewa na hii post yako.Wana jamvi wasalam.
Wakati UKAWA wakiwa na mpango wa kufanya maandamano nchi nzima ya kupinga kwa kile wanacho kisema ni unyanyasaji na ukandamizaji wa demokrasia.
Huku kukiwa na katazo kubwa sana la kuzuia maandamano hayo. Baadhi ya wake wa viongozi waandamizi wa UKAWA wameanza kufunguka na kueleza jinsi ambavyo wamekuwa wakiwasihi waume zao kuachana na mpango huo kwani unaweza kuwapa tabu wao na wataumia.
Aliye kuwa wa kwanza kufunguka kwenye ukurasa wake wa mtandao wa picha ni Bi Joyce Kiria mke wa Ndug Henry Kilewo ambaye ni kiongozi ndani ya chadema.
Alisema amekuwa akimsihi kila leo kuwambia wenzie watafute njia nyingine kwani njia wanayo taka kutumia hawato fanikiwa.. Aliweka wazi kabisa kuwa tofauti na Mh JK ambaye alikuwa akiwachekea na pengine kuwaalika ikulu kunywa nao chai wanapo tofautiana huyu wa sasa hana muda huo na wasimchokoze..
Bi Joyce Kiria alienda mbali na musema alimwambia mumewe kuwa aangalia future ya watoto wake na familia na alinganishe na huo UKUTA.
Pia aliwaomba wanawake wa viongozi wa UKAWA waungane kuwasihi waume zao kuachana na mpango huo na kutafuta njia nyingine ya kutatua migogoro hiyo na si maandamano.
Wana jamvi kama mtakumbuka kipindi cha Mh JK Kilewo alishakumbwa na case kubwa iliyo mpelekea mkewe kuzunguka kwenye vyombo vya habari kuomba huruma ya Rais mmewe aachiwe hivyo anaongea anacho kifahamu.
Wana jamvi karibuni.
View attachment 374852View attachment 374853View attachment 374854
Hii ni kwa sababu wanawake sio wenzetu; na tangu enzi za mababu wanawake walikuwa hawahesabiwi kwenye sensa!Wana jamvi wasalam.
Wakati UKAWA wakiwa na mpango wa kufanya maandamano nchi nzima ya kupinga kwa kile wanacho kisema ni unyanyasaji na ukandamizaji wa demokrasia.
Huku kukiwa na katazo kubwa sana la kuzuia maandamano hayo. Baadhi ya wake wa viongozi waandamizi wa UKAWA wameanza kufunguka na kueleza jinsi ambavyo wamekuwa wakiwasihi waume zao kuachana na mpango huo kwani unaweza kuwapa tabu wao na wataumia.
Aliye kuwa wa kwanza kufunguka kwenye ukurasa wake wa mtandao wa picha ni Bi Joyce Kiria mke wa Ndug Henry Kilewo ambaye ni kiongozi ndani ya chadema.
Alisema amekuwa akimsihi kila leo kuwambia wenzie watafute njia nyingine kwani njia wanayo taka kutumia hawato fanikiwa.. Aliweka wazi kabisa kuwa tofauti na Mh JK ambaye alikuwa akiwachekea na pengine kuwaalika ikulu kunywa nao chai wanapo tofautiana huyu wa sasa hana muda huo na wasimchokoze..
Bi Joyce Kiria alienda mbali na musema alimwambia mumewe kuwa aangalia future ya watoto wake na familia na alinganishe na huo UKUTA.
Pia aliwaomba wanawake wa viongozi wa UKAWA waungane kuwasihi waume zao kuachana na mpango huo na kutafuta njia nyingine ya kutatua migogoro hiyo na si maandamano.
Wana jamvi kama mtakumbuka kipindi cha Mh JK Kilewo alishakumbwa na case kubwa iliyo mpelekea mkewe kuzunguka kwenye vyombo vya habari kuomba huruma ya Rais mmewe aachiwe hivyo anaongea anacho kifahamu.
Wana jamvi karibuni.
View attachment 374852View attachment 374853View attachment 374854
udikiteta lazima ukomeshwe mapema kabla haujaota mizizikwahiyo wewe na huyo mwanamke mnaunga mkono udikteta na mnataka udikteta uendelee kuwepo duniani kote
ni positi goigoi sana imejaa uoga haina uzalendo wa kweli kwa wanamabadiliko ya kweli kupinga huu udikiteta kwa nguvu zoteHii post inaonyesha kutokuwa na ujasiri wowote.....hii post haifai kwenda vitani...hii post ina sauti ya mwanamke....mwanamke ni kiumbe dhaifu...hii post yenye sauti ya mwanamke iliyoletwa hapa na mwanamke inaonyesha dhahiri haijawahi kusoma KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO Na SHERIA KWA VYAMA VYA SIASA.....inasikitisha sana ukiisoma post hii iliyoletwa na Mwanamke anayejiona km vile malkia wa Nguvu....pole sana dada Ruttabolwa...sidhani km kuna mwanaume atakaye kuelewa na hii post yako.
NB: ni mtazamo tu.
Dikteta uchwaraTehetehetehe. Na Magufuli kawaambia watangulie wao kwenye maandamano wakione cha mtema kuni
nasisi tutamwonyesha cha mtema gesiDikteta uchwara
Kweli unatakiwa uwe na akili ya maiti kusupport ccmHahaha natamani kumuona akiwa na mwanae na mkewe.
Ebo! Hivyo ndio elimu yake hiyo?!! na kisha ni Limbwatist Haa! huyu mpigania haki za Wanawake.Mtoa mada yaani maamuzi ya taasisi na ya house girl unayalinganisha?mtu aliyeishia la saba anayekesha akisaka limbwata?
Joyce anauelewa na uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko wewe. Naamini kabisa kama unaweza kitu ni kuvaa nguo na kusubiri chakula cha baba yako vinginevyo usingemtukana JoyceMtoa mada yaani maamuzi ya taasisi na ya house girl unayalinganisha?mtu aliyeishia la saba anayekesha akisaka limbwata?