NATAMANI AWE WANGU PEKE YANGU WA KUFA NA KUZIKANA CKU ANANIVIKA SHELA ...............NITAJIONA MWENYE FURAHA SANA HAPA DUNIANI.............lkn mmmmmmmmmh!
unamana gani sasa hapo mwe!
kwaiyo akinitamkiaje ndio nijue ananilove
hakuna wa kwako peke yako.
Ni wako peke yako pale uwapo naye wewe tu. Akitoka si wako tena.
ndio niambie basi mana nimeogopa kweli hujui tu
hapo umeongea.
Sijaongea hapo. Nimeandika!
wakati unaandika ulikuwa unaongea.
Lazima ubishe maana kubisha asili yako.