wanzzuki
Member
- Feb 27, 2024
- 66
- 129
Habari zenu wakubwa,
Mada nyingi humu mnasapoti pesa ndo kinasio cha kuwanasa wanawake lakini ukiangalia wenye nazo ndo wanasalitiwa sana,unakuta mwanamke kaolewa na tajiri baada ya mda anaanzisha vurumai wagawane mali asepe aende kwa mwanaume wake kapuku,stori za wake za watu kuzaa na wafanyakazi wa waume zao ni nyingi sana.
Kama mimi nna dem flani ana msela wake ndo anaemuwezesha kwangu halambagi ata mia kwangu anafwata miti tu, huyu demu hata tym nae sina ye ndo shobo kibao kama saivi nimegombana naye tunamwezi sasa hatuongei kisa anataka serious relationship na mimi sipo tayari, wakati alipaswa awe serious huko ambapo anajaliwa kwa kupewa fedha.
Kwani hawa viumbe ili uwanase mazima kufa na kuzikana inapaswa uwape nini?
Mada nyingi humu mnasapoti pesa ndo kinasio cha kuwanasa wanawake lakini ukiangalia wenye nazo ndo wanasalitiwa sana,unakuta mwanamke kaolewa na tajiri baada ya mda anaanzisha vurumai wagawane mali asepe aende kwa mwanaume wake kapuku,stori za wake za watu kuzaa na wafanyakazi wa waume zao ni nyingi sana.
Kama mimi nna dem flani ana msela wake ndo anaemuwezesha kwangu halambagi ata mia kwangu anafwata miti tu, huyu demu hata tym nae sina ye ndo shobo kibao kama saivi nimegombana naye tunamwezi sasa hatuongei kisa anataka serious relationship na mimi sipo tayari, wakati alipaswa awe serious huko ambapo anajaliwa kwa kupewa fedha.
Kwani hawa viumbe ili uwanase mazima kufa na kuzikana inapaswa uwape nini?