Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,340
- 51,900
Kwema wakuu!
Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.
1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape 👉🏼 Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%
2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%
3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%
4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%
5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.
Karibuni Kijiwe nongwa
Ngoja tupitishe muda kwa stori kidogo.
Zifuatazo ni vigezo na Marks ambazo Mwanamke yeyote aki- score kuanzia 75% anaweza kuwa mke wangu.
1. Awe Mwanamke Mrembo na Mzuri ( Marksi 30)
I. uzuri wa sura 10%
ii. Shape 👉🏼 Kibindo, Chura aka msambwanda wa kati 10%
iii) Rangi maji ya kunde au rangi ya andazi 10%
2. Awe Mwanamke mwenye tabia njema, Mchamungu na mwenye Imani. (marks 30)
i. Bikra. 15%.
ii. Anayeijua Dini 5%
Iii. Aliyetayari kunisikiliza 10%
3. Awe Mwanamke Mwenye Elimu kuanzia Diploma. 10%
4. Awe anajua Kutunza na kuilea Familia Marks 20
i. Awe na maadili ya kuitunza familia 10%
ii. Awe na kipato au kazi ya kuajiriwa au kujiajiri 10%
5. Ajue mapishi na michezo ya ndani 10%.
Jumla ya Marks ni 100%
Lakini aki- score kuanzia 75 yupo katika nafasi ya kuwa mke wa Watibeli.
Karibuni Kijiwe nongwa