Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,252
- 10,497
Halafu wewe bwana aarghh!!!
nimefanyaje jamani?
Halafu wewe bwana aarghh!!!
Unajua mwenyewe umefanya nini aarghhhnimefanyaje jamani?
Unajua mwenyewe umefanya nini aarghhh
Unataka unihonge kama makada wa kule Igungahahahahaha! Nchunie tf. Usiongee kwa nguvu. Lol.
kwaiyo akinitamkiaje ndio nijue ananilove
Unataka unihonge kama makada wa kule Igunga
Nani???NATAMANI AWE WANGU PEKE YANGU WA KUFA NA KUZIKANA CKU ANANIVIKA SHELA ...............NITAJIONA MWENYE FURAHA SANA HAPA DUNIANI.............lkn mmmmmmmmmh!
Hebu cheki cheki vizuri kipo sana cha thamanisina cha thamani cha kukuonga. Lol.
hakuna wa kwako peke yako.
Hebu cheki cheki vizuri kipo sana cha thamani
Kaburi je?
Hebu niitie Aminata mara mojangoja nikupe hiki kisimu changu.
sasa izo njia za kumapata huyo mwema ndio nazitaka bila u komando ndani ya house..now tell me how do i find mr right guy
Hebu niitie Aminata mara moja
aminata tf anakuita. Umpe anachotaka kaka yangu huyo.
kwaiyo unataka kuniambia kila anavoniambia mm ndio malaika wake ananidangaya mwe!.............mbona wanitisha sasa