TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 13,744
- 21,191
Mbunge wa Viti Maalumu, Jacqueline Msongozi (CCM) kamemea tabia hiyo alipokuwa akichangia mjadala wa kupitisha makadiro ya mapato na matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu leo bungeni.
Amekemea tabia na vitendo vya wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha watoto, akidai kitendo hicho ni cha kutesa watoto.
Amekemea tabia na vitendo vya wanaume wanaonyonya maziwa ya wake zao wanaonyonyesha watoto, akidai kitendo hicho ni cha kutesa watoto.