Only for 18+

zeanimo

Member
Jul 21, 2010
63
4
Hello Wanajamii.................
Nilikuwa kimya kidogo nikifanya utafiti kuhusiana na hili gonjwa hatari la ukimwi. Nimegundua kuwa kuna aina mbili za HIV/AIDs namely ANALOGY and DIGITAL.
1. ANALOGY= mwathirika anateseka sana ....ni ule wa zamani unaoambatana na madonda na kukonda.
2. ANALOGY=mwathirika huwa na afya njema mda wote na hufa akiwa gafla na afya yake.
Kwa dunia ya sasa uliopo kwa wingi ni ule wa DIGITAL.....................................
Naomba mawazo yenu kabla sija-publish utafiti wangu.
 
Hello Wanajamii.................
Nilikuwa kimya kidogo nikifanya utafiti kuhusiana na hili gonjwa hatari la ukimwi. Nimegundua kuwa kuna aina mbili za HIV/AIDs namely ANALOGY and DIGITAL.
1. ANALOGY= mwathirika anateseka sana ....ni ule wa zamani unaoambatana na madonda na kukonda.
2. ANALOGY=mwathirika huwa na afya njema mda wote na hufa akiwa gafla na afya yake.
Kwa dunia ya sasa uliopo kwa wingi ni ule wa DIGITAL.....................................
Naomba mawazo yenu kabla sija-publish utafiti wangu.
We dogo... mbona zote umezungumzia Analogue? Sasa which is which?

Mawazo yangu kabla hujapublish: Acha NGONO ZEMBE!!

Karibu bia, ngono haiongezi damu mwilini...
 
Mbona umneelezea analogy tu??
Ila kumbuka, kama ni mpiganaji usiwashangae sana wanaokufa kwa risasi
Hata askari uliye naye kwenye batalioni(mke/mme) moja anaweza akakupiga bahati mbaya.
 
Mmmh babu,
Tena kwenye ndoa haya mambo ni magumu zaidi
Huwezi apia mtu anayetembea na risasi yake
Ni kuishi kwa imani tu.

We dogo... mbona zote umezungumzia Analogue? Sasa which is which?

Mawazo yangu kabla hujapublish: Acha NGONO ZEMBE!!

Karibu bia, ngono haiongezi damu mwilini...
 
Mbona zote analogy
Hata mimi naona mana zote kazitaja ni analogy.

@thread poster, you obviously have serious problems, you're kind of making a fool out of yourself kama unafikiria kuna type mbili za aids.
 
Hata wenye kisukari hupata UKIMWI hata wenye kansa ya Damu hupata UKIMWI.

Dawa ya kuzuia kuambukizana HIV ni kuacha ngono nje ya ndoa.
 
Ingawa sijafahamu yaliyomo kwenye utafiti wako, sisi tuliobobea kwenye fani hii umeanza vibaya kwa kutumia maneno ambayo yanapotosha. naomba usifanye utani na kudanganya umma kwenye ugonjwa huu.
 
We dogo... mbona zote umezungumzia Analogue? Sasa which is which?

Mawazo yangu kabla hujapublish: Acha NGONO ZEMBE!!

Karibu bia, ngono haiongezi damu mwilini...

what a piece of advice?
Mi laik dhis vere mach...
CASTLE Milk Stout ya moto tafadhali.
 
Back
Top Bottom