Only for 18+

Only for 18+

Kwa utandawazi na maadili yalivyopoteza mwelekeo..kuacha ngono kwa wote walio nje au ndani ya ndoa ni ngumu sana....cha msingi ni kusisitiza ngono salama...kupiga vita ngono zembe. TUMIA KINGA
Hata wenye kisukari hupata UKIMWI hata wenye kansa ya Damu hupata UKIMWI.

Dawa ya kuzuia kuambukizana HIV ni kuacha ngono nje ya ndoa.
 
Acheni kujidaganya UKIMWI haupo.
POPOBAWA.
 
Ushauri; usitumie kondom, ingiza kichwa tu bila shingo na usikatikekatike!
 
Kumbe analog na digital imehamia hadi kwenye ukimwi? makubwa!
 
Huo Analogy aka Bukoba type siku hizi umepungua au ni kama vile unaisha,ni nadra sana kumuona mtu ana 'analogy' ndio maana umeuita hivyo mkuu. Chapisha ubunifu wako,ni wazo zuri tu.
Dalili nyingine za analogy ni:
Nywele kugeuka sufi, rangi ya noti ya 10000 kwenye mdomo, mabega kupanda kama paa la hema,na akijikuna ngoza inatoa unga.
 
Kuna jamaa player kishenzy aliwauliza wenzie 'when do you know that you are in love?'
Akajibiwa 'when you start using condom with other galz'
I mean kama babu anampenda bibi, atatumia condom na wewe (if you are a gal, lol)
Hivi kama umeoa au kuolewa
Unaweza tumia kinga 24/7 kwa siku 366?
 
Fazaa, ni kweli kuna aina mbili za hiv (zinaitwa 'strains')
Kuna strain inayoua haraka sana, na kuna ambayo haishambulii haraka sana. Lakini issue ya analogue na digital nadhani mwandishi wetu mahiri anaongelea matokeo ya kutumia ARV, manake yanapunguza magonjwa nyemelezi ikiwemo carposis sarcoma (ule ukurutu, ambao ni kansa). Mtumiaji wa ARV inasemekana hufa kwa heart attack ama diabetes kama side effect, hii utafiti unaendelea na by end of this year matokeo yatakuwa nje.
@thread poster, you obviously have serious problems, you're kind of making a fool out of yourself kama unafikiria kuna type mbili za aids.
 
Soma vizuri basi...sijamwambia aache Ngono, manake najua hawezi ila aache NGONO ZEMBE!

Kubanjuana miaka hii hakuepukiki, basi angalau tubanjuane responsibly!
loh babu....... word!
 
Back
Top Bottom