Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 698
- 877
Ukubwa wa mechi kati ya ile ya Simba vs Al Ahyl na ile ya Yanga vs Mamelodi Sundowns ushakuwa wazi tangu tarehe 12/03/2024 ilipopangwa droo ya CAF robo fainali.
Tangu hiyo siku mpka Leo,kati ya mechi zote za wiki hii,ni mechi Moja yenye high online engagements.
Mechi hiyo ni ya Yanga vs Mamelodi.
Mathalani ukiingia katika ukurasa rasim wa CAF kule X,kama ukianzia tarehe 12 ya mwezi huu,basi habari za mechi ya Yanga ndo yenye kuchangiwa na watu wengi.
Hata yule mnazi wa Simba Micky Jr, akitaka apate engagements basi ni lazima apost habari za Yanga.
Hata CAF wanalijua hilo, wakitaka wapate online engagements kubwa basi ni lazima wapost habari za Yanga.
No Yanga no online engagements.
Ebu angalia mathalani huu mchanganuo huu hapq chini kwenye hizi post mbili za tarehe 12/03/2024 baada ya droo ya Robo Fainali kwenye ukurasa wa CAF kule X: Yanga kapata comments 748,retweets 1k,likes 6k na views 315k
Simba kapata comments 281,retweets 654, likes 5.1k na views 131k
NB:
Nasema za Yanga na Simba kwa kuwa hata CAF wanajua bila ya kupost habari za Simba na Yanga hawatopata online engagements kubwa
Japo Yanga tunaongoza kwa kufuatiliwa mtandaoni, ila nisiwe mnafiki
Wabongo tunatisha kwa kuzichangamsha media platform za mtandaoni
Congrats to us
Tangu hiyo siku mpka Leo,kati ya mechi zote za wiki hii,ni mechi Moja yenye high online engagements.
Mechi hiyo ni ya Yanga vs Mamelodi.
Mathalani ukiingia katika ukurasa rasim wa CAF kule X,kama ukianzia tarehe 12 ya mwezi huu,basi habari za mechi ya Yanga ndo yenye kuchangiwa na watu wengi.
Hata yule mnazi wa Simba Micky Jr, akitaka apate engagements basi ni lazima apost habari za Yanga.
Hata CAF wanalijua hilo, wakitaka wapate online engagements kubwa basi ni lazima wapost habari za Yanga.
No Yanga no online engagements.
Ebu angalia mathalani huu mchanganuo huu hapq chini kwenye hizi post mbili za tarehe 12/03/2024 baada ya droo ya Robo Fainali kwenye ukurasa wa CAF kule X: Yanga kapata comments 748,retweets 1k,likes 6k na views 315k
Simba kapata comments 281,retweets 654, likes 5.1k na views 131k
NB:
Nasema za Yanga na Simba kwa kuwa hata CAF wanajua bila ya kupost habari za Simba na Yanga hawatopata online engagements kubwa
Japo Yanga tunaongoza kwa kufuatiliwa mtandaoni, ila nisiwe mnafiki
Wabongo tunatisha kwa kuzichangamsha media platform za mtandaoni
Congrats to us