Je, Kwanini mechi ya Yanga na Mamelodi ni gumzo zaidi hapa Afrika?

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,774
24,209
Nimefanya utafiti Baada ya droo za CAFCL kutoka tarehe 12 na nimepata kugundua kuwa mechi ya Yanga na mamelodi ndio mechi inayoteka hisia zaidi kuliko Even mechi zote ......

Makolo pia wameendelea kuingia kwenye mfumo wa Yanga Kwa kuzungumzia mechi hii zaidi ....huku wengine wakisahau yao

Takwimu: Kwenye Kila wa Tanzania 10, 7 kati yao wanaizungumzia Yanga zaidi.

Je tatizo ni ukubwa wa hizi timu, playing style zake?

1710884819803.jpg
 
Nimefanya utafiti Baada ya droo za CAFCL kutoka tarehe 12 na nimepata kugundua kuwa mechi ya Yanga na mamelodi ndio mechi inayoteka hisia zaidi kuliko Even mechi zote ......

Makolo pia wameendelea kuingia kwenye mfumo wa Yanga Kwa kuzungumzia mechi hii zaidi ....huku wengine wakisahau yao

Takwimu: kwenye Kila wa Tanzania 10 ......7 kati yao wanaizungumzia Yanga zaidi

Je tatizo ni ukubwa wa hizi timu .... playing style zake???View attachment 2939896
Timu zinazoujua.
 
Nimefanya utafiti Baada ya droo za CAFCL kutoka tarehe 12 na nimepata kugundua kuwa mechi ya Yanga na mamelodi ndio mechi inayoteka hisia zaidi kuliko Even mechi zote ......

Makolo pia wameendelea kuingia kwenye mfumo wa Yanga Kwa kuzungumzia mechi hii zaidi ....huku wengine wakisahau yao

Takwimu: kwenye Kila wa Tanzania 10 ......7 kati yao wanaizungumzia Yanga zaidi

Je tatizo ni ukubwa wa hizi timu .... playing style zake???View attachment 2939896
Wananchi ni zaidi ya wanasii hasa wa nchi😆
 
Back
Top Bottom