AshaDii
You have never quoted me to support me, it is always to critisize or question me in an eventual blif kua nimechemka.
Kwani lazima niku support? Kuna kifungu chochote cha kanuni za JF kuwa nimekikiuka au kukivunja?
AshaDii:
In discussions ambazo zinahusu wanawake daima wewe wawachukulia wanawake woote wapo priviledged kama ambavo wewe upo priviledged. i.e Kujitambua, kujikomboa, kujielewa na kujikamilisha in each sphere of there life.
Sasa unataka kusema unanijua mimi nilivyo na priviledges zangu nilizokuwa nazo? Na pia unamaanisha unafuatilia kila Gaijin anachokiandika kiasi cha kujua kwa uhakika na kutumia neno
"daima"?
AshaDii
Sijawahi ona (hasa MMU) ukamsapport member kwa lile alopost zaidi ya kuuliza maswali ambayo in the end humfanya the member in question apoteze kabisa confidence.
Siwezi kukulazimisha cha kuona. Na hiyo ni opinion yako. Lakini inaturudisha kule kule, kuwa inatia shaka kuwa unafuatilia sana anachikiandika Gaijin kiasi cha kujua anachofanya hata kwa posts za member wengine!
AshaDii
You are an intellegent woman, BUT ni nadra saana kutoa maoni yako in matters of discussions (at least nilizoona) ila tu waishia kuuliza maswali with so much enthusiasm... Maswali ambayo huwa mlolongo mkuubwa na mara nyingi yaweza hadi mkimbiza mhusika; for you are good at nailing them.
Hapa tunarudia pale pale. Hakuna lazima yoyote ya kuwa l nitoe maoni kwenye discussions kwa unavyotaka wewe, wala hakuna kosa la kuuliza masuala with enthusiasm. Watu wanajifunza kwa kuuliza masuala na ni njia moja muhimu katika learning process iliyotumiwa toka enzi na enzi na wanafalsafa maarufu kama kina Socrates.
AshaDii
I am sorry Gaijin if by any way I will offend you... Unfortunately I do stand my point kua you are too critical.
Don't flatter yourself, you can't even if you try