Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Kila halmashauri pale kwa Mkurugenzi kuna Office zinazohusika na UKIMWI.Inaonyesha watumishi wengi hasa wa serikali ni wahanga.Tuweni makini wadau tutaacha familia yatima.Tumwombe Mungu atupe hekima ya kushinda tamaa za mwili.Mavazi ya kina Dada yanatuweka mtegoni sana.Na wazee watu wazima nao wanataka mabinti wabichi.Kina mama nao wanataka Serengeti boy.
 
inasikitika umejikalia tu home very honest na mwanaume anaukwaa huko halafu ananyamaza tu. y asiseme tu na mimi nianze dawa?? huoni ni uaji mkubwa anaruhusu hadi mimba jmn.

So sad kwa kweli

Its true.
Ila Jipe moyo kuwa utakuwa salama. Japo, kweli ni ngumu.
 
Duh hatari mimi kuanzia j3 hakuna mke wangu kwenda ofisini!


Haaaa haaaa haaaa haaaa teeeh teeeh teeeh.

Angalizo, bajeti itaanza jtatu nyingine ieleee itakayofuatia . Kwa hiyo, kuwa makini mke usije muachisha kazi kisha life ikakuzingua mkakosa pa kukimbilia.

Nasikia, huwa wanaume tunajipa moyo kuwa K haiishi hata kama msela mwengine ataigonga huko kitaa akija home bado inakuwa kama imetiwa asali na mdarasini .
 
Ngono ya kujificha ficha ... yani unafanya kwa kuibia... haraka haraka watu wasije wakatuona... ni tamu sana...
So kale ka hali ka kupiga mara moja bila kumaliza haja zote, hufanya watu hao kujiiba tena na kufanya tena...
Hii hali haitakaa iishee esp kama ofs haina cctv camera
 
Back
Top Bottom