simpasa 202
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 297
- 202
Matamaniano tyuuu,, kautani kwaambali
Mwisho wa sku refa anapuuliza kipyenga
Mwisho wa sku refa anapuuliza kipyenga
Na wako atapelekwa hivyo hivyoKipindi nafanya uharamia niliwai kuwa napeleka mke wa mtu , akawa analiwa ofisini kila jumatano na ijumaa coz mme wake ndio siku alizokuwa akichelewa kurudi home.... daah ,why mm kuja kuoa sio leo![]()
Daa Jovitha![]()
![]()
wew mpk ufumaniwe unakuwa wapi?? Unajua vuakuiba bhanaa unashtukizaaa kwahiyo unakulala kwa wacwac dk 3 tu wazungu hao
wote mnakuwa na spidi ya 4G
sikuweziNdiyo wengi wanafanya hivyo mke akipata mimba akienda pima ndiyo anashituka akifika huko anaambiwa mbona mmeo siku nyingiSometimes in this world love does not exist. Sasa y umfiche afe mapema wkt wewe meaning ME unatumia dawa? Shame on us kabisa
kwani sio binadamummhhh hivi mke au mume wa mtu anakuwa na nyege????????
Mbaya zaidi unazini huku picha ya mh raisi wa jamhuri ,mh JPM akikutazama.ole siku ukikamatwa utajuta !!


Na nisehemu salama zaidi. Huku kwa lodge sijui guest lazima watu wakuone.


sasa ofisini watu wangekuwa hawakuoni kusingekuwa na huu uzi hapa


Jmn watu tumekuwa wauaji bila kujua. Nashaur watu tuseme tu maana jmn huu ninuaji. Hawaon hata thaman yetu maskin wanaruhusu had mimbaNdiyo wengi wanafanya hivyo mke akipata mimba akienda pima ndiyo anashituka akifika huko anaambiwa mbona mmeo siku nyingi
uwiii Mungu nisaidieMie siwezi kuoa aseeh, so sitakuwa naye sababu niyaonayo kwa wenye ndoa BiG NOOOOONa wako atapelekwa hivyo hivyo