Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Unamiaka mingapi kazini? Isijekuwa zamani haukuwahi kuwepo tu huko kazini ndo maana unaona ni kitu kipya!!!
 
Kipindi nafanya uharamia niliwai kuwa napeleka mke wa mtu , akawa analiwa ofisini kila jumatano na ijumaa coz mme wake ndio siku alizokuwa akichelewa kurudi home.... daah ,why mm kuja kuoa sio leo[emoji41]
Na wako atapelekwa hivyo hivyo
 
[emoji41] [emoji41] [emoji41] wew mpk ufumaniwe unakuwa wapi?? Unajua vuakuiba bhanaa unashtukizaaa kwahiyo unakulala kwa wacwac dk 3 tu wazungu hao[emoji85] wote mnakuwa na spidi ya 4G
Daa Jovitha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sikuwezi
 
Tatizo Kubwa Ni Hawa Wadada Ofisini wanatusumbua sana, sijui Kisa wanajua sisi Ashki zetu zinaamka Haraka
Ndio Maana Wanaume sisi unaeza Gonga Sehem yoyote Bila Kujali Hadhi Yake!
 
Ndiyo wengi wanafanya hivyo mke akipata mimba akienda pima ndiyo anashituka akifika huko anaambiwa mbona mmeo siku nyingi
Jmn watu tumekuwa wauaji bila kujua. Nashaur watu tuseme tu maana jmn huu ninuaji. Hawaon hata thaman yetu maskin wanaruhusu had mimba[emoji85] uwiii Mungu nisaidie
 
Back
Top Bottom