Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Ongezeko la ngono maofisini nini sababu?

Wakuu habari za nyinyi jamani,
Natumaini mu wazima kabisa,
Leo nimeona nishushe haka ka uzi ambako nimekafanyia utafiti usio rasmi na nimeona kuna haja ya kukajadili.

Kwa wenzangu na mimi tulio maofisini bila shaka mtakubaliana na mimi kwamba siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la wafanyakazi kupeana tamu maofisini baada ya saa za kazi.

Wengi hubakia baada ya saa kumi na moja au mbili wakijifanya kuwa bize bado na vimeo mbalimbali kumbe wanazuga watu wengine waondoke ili mechi zipigwe kwenye sakafu, makochi au Meza na viti vya ofisini.

Ukweli ulio mchungu ni kwamba wake zetu ambao tunaona ni watulivu nyumbani na hata weekend hawatoki nyumbani kwenda kokote kumbe mabosi wanawainamisha huko maofisini baada ya saa za kazi aisee.

Hii pia inawakumba sana wahudumu wa maofisi, masekretari na walio katika mafunzo ya vitendo wapo pia wanawake wanaowaita hapo ofisini michepuko yao waje kupiga show ofisini.

Kinachonifanya niulize ni sababu zamani ofisi ziliheshimiwa sana, baada ya saa za kazi watu walikuwa wanarudi nyumbani, ni kwanini sasahivi maofisi yamegeuka magesti ya kuchapia mpaka wake za watu? Karibuni tushee aidia hasa kama kuna wenye konfesheni za kungonoka ofisini.
Duuuuuh. Halafu wanajisafisha kivipi baada ya huo ujinga. Kufanya mapenzi ofisini ni ujinga wa kiwango cha juu. Only desperate people can do that.
 
Aiseeeeh

Pole Sana, jamani hadithi hii ni aibu sana. Ulivyoandika unatia huruma sana
inasikitika umejikalia tu home very honest na mwanaume anaukwaa huko halafu ananyamaza tu. y asiseme tu na mimi nianze dawa?? huoni ni uaji mkubwa anaruhusu hadi mimba jmn.

So sad kwa kweli
 
Kumbe ndio maana unataka kuona watu wakigegedana kumbe unasinzia kwel
hahahahahah sasa kama wanafanya usiku mimi si nitakuwa imelala jamani.

niambie mapema niweke vibanio kwa majicho yangu yasifunge
 
hahahahahah sasa kama wanafanya usiku mimi si nitakuwa imelala jamani.

niambie mapema niweke vibanio kwa majicho yangu yasifunge
Overtime haifanywi usiku Ile jion wakiwa wanatoka bwana Sawa enhee
 
Back
Top Bottom