kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,489
- 18,379
Mmmmh...nakujakujaje tena aisee!!
Pole kwa kufiwa na bibi...msalimie Shans
asantee!! kumbe wewe ndiyo unaona leo?
Mmmmh...nakujakujaje tena aisee!!
Pole kwa kufiwa na bibi...msalimie Shans
...hiyo kadi ya mwaliko isinipitie kushoto tafadhalihata mi nimeshtukaje sina hii habari dah kweli wako akiwa ndani akitoka,.....
Sikua nimeona mwenzio
Haliwi mtu hapa.hata usiponing'oneza! mi nitaona manyoya tu! na nitajua kashaliwa
Whay do u mean exactly?
maybe an extra one...
watakuja tu! onyesha nia
sihitaji kwa sasa kwani ninaye yule mmoja tu pekeee
kwanini niwe na saccos zisizoeleweka? mmoja tu ndiye atosha
hivi yupo hapa?
yupo hapa lakini sio jukwaa hili na sitaki kumuweka hadharani maana
manyang'au wataniharibia ndege wangu bure kwani mm sijui watu wa cc walivyo
chezea watu wa cc weyeeee heeheeeeeeeiya
pole sana mkuu pole sana
nimekwishapoa bestito usijali kwani najua ndo mambo ya mjini hayo
bora kuficha kuliko kuanika ovyo kama karanga mbichi
wamekuibia tena? mbona unasongwa sana