Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,406
Nani amu.. au?
Hilo ndio jibu sahihi, mie ndio hubby wake toka jana, mwaka mzuri huu mkuu
Last edited by a moderator:
Nani amu.. au?
Hilo ndio jibu sahihi, mie ndio hubby wake toka jana, mwaka mzuri huu mkuu
Hilo ndio jibu sahihi, mie ndio hubby wake toka jana, mwaka mzuri huu mkuu
ukianza kwa upendo utamaliza kwa upendo
Anakuja kuja wapi? Na wakati anakuja shansarie anakuwaga wapi? Ahh mm nauliza tu!
Una maswali... kwani we ni polisi?
Ha! Hivi kumbe shansarie ndiye shemeji? Sasa kumbe sikuulizi wewe, namuuliza mwenyewe maana mi na yeye dam dam. Eti shem hebu tiririka, wakati bro anakusarandia kulikuwa na compee kama ninayopata mimi kwa amu?
hata mi nimeshtukaje sina hii habari dah kweli wako akiwa ndani akitoka,.....
Afadhali ni udaku maana nilijua ni za udukuzi