Ni mwaka mmoja sasa tangu nimekutana nae na kusema yes i do feel the same to my lovely sweetheart
na bado tupo imara. namshukuru mungu kwa kutupa afya njema na kutuepusha na vikwazo mbalimbali
vya hapa na pale tunanyanyuka tunafuta vumbi safari inaendelea na kukubaliana na mapungufu ya kilammoja wetu
Napenda kurudia tena leo tarehe 4 jan 2014 kauli niliyoitoa tarehe hiyo 2013,leo nasema mbele ya wana jamii forum chitchat kiwatengu mpenzi nakupenda kupita kiasi hata mungu anajua hilo so wenye vijiba vya roho mkae mbali nasi.
Your more than a husband to me your ma best friend ever and i will never leave you.
wanachit chat karibuni kwa party ndogo hapa marangu
mama Mamndenyi asante kwa kunizalia mume mwemabila kumsahau bamkwe wa kambo chama
this is for you darling
[video=youtube_share;bprlazLGYZA]http://youtu.be/bprlazLGYZA[/video]
Santee pita tu
I love you darling, nakumbuka ulivyokuwa unazingua ujue, au ndiyo ulikuwa unapima!!
unajali sana, unayajua mapenzi, unajua kupika! we ni mtamu kila sehemu.love you sana darling
![]()
Hahahahahahahahaha Kweli aje anijuze hapa manake kuna pesa ya barua na kuna kishika uchumba haya yote hufanyika kabla ya mahari yaani wakati Mume mtarajiwa akiendelea kujiuliza kama huyu ndiye au siye.Mmmm ngoja aje mwenyewe ila adantr kwa baraka zako
Hahahahahahahahaha Kweli aje anijuze hapa manake kuna pesa ya barua na kuna kishika uchumba haya yote hufanyika kabla ya mahari yaani wakati Mume mtarajiwa akiendelea kujiuliza kama huyu ndiye au siye.
U want ma head to bust ee thankx sana lucky to have u well
Bado nipo gizani namsubiria ajibu hili inawezekana akaleta nisijue kweli?
hongera bestito kwa wewe kuvuka na mumeo salama wengine tulishashindikana hatunao tena
All the best..Tunawaombea muweze kutimiza ndoto zenu