shansarie
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 5,690
- 3,372
Ni mwaka mmoja sasa tangu nimekutana nae na kusema yes i do feel the same to my lovely sweetheart
na bado tupo imara. namshukuru mungu kwa kutupa afya njema na kutuepusha na vikwazo mbalimbali
vya hapa na pale tunanyanyuka tunafuta vumbi safari inaendelea na kukubaliana na mapungufu ya kilammoja wetu
Napenda kurudia tena leo tarehe 4 jan 2014 kauli niliyoitoa tarehe hiyo 2013,leo nasema mbele ya wana jamii forum chitchat kiwatengu mpenzi nakupenda kupita kiasi hata mungu anajua hilo so wenye vijiba vya roho mkae mbali nasi.
Your more than a husband to me your ma best friend ever and i will never leave you.
wanachit chat karibuni kwa party ndogo hapa marangu
mama Mamndenyi asante kwa kunizalia mume mwemabila kumsahau bamkwe wa kambo chama
this is for you darling
[video=youtube_share;bprlazLGYZA]http://youtu.be/bprlazLGYZA[/video]
na bado tupo imara. namshukuru mungu kwa kutupa afya njema na kutuepusha na vikwazo mbalimbali
vya hapa na pale tunanyanyuka tunafuta vumbi safari inaendelea na kukubaliana na mapungufu ya kilammoja wetu
Napenda kurudia tena leo tarehe 4 jan 2014 kauli niliyoitoa tarehe hiyo 2013,leo nasema mbele ya wana jamii forum chitchat kiwatengu mpenzi nakupenda kupita kiasi hata mungu anajua hilo so wenye vijiba vya roho mkae mbali nasi.
Your more than a husband to me your ma best friend ever and i will never leave you.
wanachit chat karibuni kwa party ndogo hapa marangu
mama Mamndenyi asante kwa kunizalia mume mwemabila kumsahau bamkwe wa kambo chama
this is for you darling
[video=youtube_share;bprlazLGYZA]http://youtu.be/bprlazLGYZA[/video]