One year of love and happiness

One year of love and happiness

shansarie

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2013
Posts
5,690
Reaction score
3,372
Ni mwaka mmoja sasa tangu nimekutana nae na kusema yes i do feel the same to my lovely sweetheart
na bado tupo imara. namshukuru mungu kwa kutupa afya njema na kutuepusha na vikwazo mbalimbali
vya hapa na pale tunanyanyuka tunafuta vumbi safari inaendelea na kukubaliana na mapungufu ya kilammoja wetu

Napenda kurudia tena leo tarehe 4 jan 2014 kauli niliyoitoa tarehe hiyo 2013,leo nasema mbele ya wana jamii forum chitchat kiwatengu mpenzi nakupenda kupita kiasi hata mungu anajua hilo so wenye vijiba vya roho mkae mbali nasi.
Your more than a husband to me your ma best friend ever and i will never leave you.
wanachit chat karibuni kwa party ndogo hapa marangu
mama Mamndenyi asante kwa kunizalia mume mwemabila kumsahau bamkwe wa kambo chama

this is for you darling
[video=youtube_share;bprlazLGYZA]http://youtu.be/bprlazLGYZA[/video]
 
M.E.M.A ni kweli tupu sisi hatufeki tupo real Tembosa nilikosea heading na imeshatolewa
 
Last edited by a moderator:
kabanga asante nimepata ujumbe wako
 
Last edited by a moderator:
Kama hivi uandikavyo na kumoyo kupo hivyo , basi huyu mwanamme mwenzetu kiwatengu kipo kitu anatuzidi .
 
Last edited by a moderator:
Kama hivi uandikavyo na kumoyo kupo hivyo , basi huyu mwanamme mwenzetu kiwatengu kipo kitu anatuzidi .
Nipo hivo kumoyo na kuroho shem na anawazidi kweli hana mpinzani nikianza kumenshen sifa zake hapa nitajaza ukurasa kubwa kuliko yote hana unafiki yuko very open and i love that
 
Last edited by a moderator:
Ok! sasa mbona wewe umejiunga jf baada ya 4 jan?
au mlijuana nje ya jf?

Jibi tayari unalo tumejuana before na yeye ndo alinishawishi kujiunga japo nilikuwa naifahamu jf but yye ndo alinivuta humu
 
Hongera zako,nawatakia maisha mema,mie napita tu
 
Back
Top Bottom