kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,489
- 18,379
ndio hivo...ila nikirekebisha nitakushtua
poa, usipite tena njia za vibaka
ndio hivo...ila nikirekebisha nitakushtua
poa, usipite tena njia za vibaka
kumbe wadada wa Chit chat ni Manyang'au? nilikuwa sijui kabisa!!
Nimwambie mke wangu ahame? au unanishauri nini? hofu yangu na yeye asijegeuka nyang'au
hawa wanani time sana...sa hivi nitakuwa makin
sio wadada waliosababisha ni WAKAKA WA CC ndo waliosababisha hayo kwani walimpa umbeya mwingi mpaka naye akaingia mkenge wadada hawana neno hivyo hata mkeo hana neno hivyo usiwasingzie wadada wa watu hapa kwanza naheshimiana nao sana na ndo walionifanyia mpango wa kumliwaza tuyamalize
kumbe ndiyo sisi..
hata mimi ni nyang'au aisee!!!
au kuna tofauti kati ya wakaka wa CC na wanaume wa CC? mi nipo kwenye kundi la wanaume wa CC
............................:-X.😛:-o:'(....
Kuna tofauti kati ya wakaka wa cc na wanaume wa cc
na sio wote waliosababisha bali ni wachache sana na miongoni mwao wewe hauko kabisa
wewe ni kaka mzuri sana na tena nakupenda kwa uzi zako
Hili sio la wahindi kiwatengu
nimeambiwa bado ushindani unaendelea, pengine waweza kuwa bingwa. where is Jawalat *hili jina silikumbuki vizuri
kumbe wadada wa Chit chat ni Manyang'au? nilikuwa sijui kabisa!!
Nimwambie mke wangu ahame? au unanishauri nini? hofu yangu na yeye asijegeuka nyang'au
Hako kataliwa tu
Usijali mkuu nitakuhabarisha siku ya tukio
Tena kanaonekana katam hako...lolzzzz!!!!!!!!!!!!
Loh! Tengua kauli
Hahaaa Jerrymsigwa huyu huyu ama kuna mpya kaja??
mmmh!! kama ni utamu usinihabarishe aisee!! nisije nika compare bure!! ikaleta shida
Basi sitakuambia kabisa maana nahisi ni nomaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!