Nini maana ya MSALITI?Huwa najizuia sana kuchangia threads kama hizi lakini wakati mwingine unalazimika. Issue siyo kwamba Zitto hajui anachofanya, anajua sana. Tatizo ni pale anapodhani watanzania hawana akili. Zitto ameanza usaliti 2006, watanzania wanajua. Kama amekuwa msaliti miaka 9 anahitaji zaidi ya miaka 10 kuwaaminisha watanzania anachotaka waamini.
Hatuwezi kudharau anachofanya lakini ajue kazi si rahisi kama anavyodhani. Anaweza kupata wabunge hata watatu hata wanne, lakini naamini ACT itakufa hata ukitaka kuweka kiberiti niweke nyumba.
Nini maana ya MSALITI?
Kamwe, Never hatuwezi kuiondoa ccm madarakani kwakuanzisha vyama kiholela. Tunahitaji kuunganisha nguvu za upinzani. Siasa sio kigodoro kwamba ukiweka taarabu mzuriiiii ndo utajaza watu kwenye unyago wako.
CDM msaliti ni yeyote asiyesikilizana na Mbowe na Slaa, au yoyote mwenye mtazamo tofauti,mambo ya ajabu kabisa.
CDM tuliyokuwa tunaipa sapoti ya nguvu humu circa 2006-7 sio hii ya leo iliyojaa watoto wasiojua hata kuunga sentensi mbili za kiswahili. Nasikitishwa sana na hii hali, sijui kwanini uongozi wa CDM waliacha hali ikafikia kwenye hatua hii bila wao kufanya damage control.
Sasa hivi imekuwa haiwezekaniki kujadili mada na vijana wa CDM kabla hawajaanza kutoa lugha za maudhi na kero.Yani kila akiandika sentensi mbili, anaanza wewe msaliti, wewe msaliti.yani hopeless kabisa.
Mnasema wanakuja kugawa kura za upinzani, watagawaje kura za upinzani, wakati ACT ni chama chenye sera za Ujamaa?sera ambazo, mabaki yake mengi yako CCM? CDM haijawahi kuweka wazi ni chama cha mrengo upi, ingawa ukitazama ni kama kimeegemea ubepari kiasi, kwa kuwatazama viongozi wake n.k
wekeni sera za CDM wazi, iteni wananchi wanaowafuata kwa kufuata sera zenu. Period.
Acheni kulalama kama watoto wadogo. Mkue, ili hata ukiitishwa mdahalo wa Kitaifa viongozi wa vyama waongee kuhusu sera za vyama vyao,sio flani msaliti wa hiki na kile, ni upuuuzi kujadili siasa za kjinga kwa nchi masikini kama TZ.
Na hapa ndipo Chadema inapokosa mwongozo maana USALITI wa CDM sasa hivi umepachikwa kuwa Usaliti wa TAIFA. Ukipingana na Chadema kwa lolote lile wewe ni msaliti wa TAIFA kana kwamba Chadema ndio mwongozo wa nchi na imenisikitisha hadi viongozi wanatumia lugha hii. Wewe unaomba ridhaa ya wananchi leo unakuwa mstari wa mbele kuhukumu wengineo ambao wana haki sawa na wewe Kidemokrasia!.CDM msaliti ni yeyote asiyesikilizana na Mbowe na Slaa, au yoyote mwenye mtazamo tofauti,mambo ya ajabu kabisa.
CDM tuliyokuwa tunaipa sapoti ya nguvu humu circa 2006-7 sio hii ya leo iliyojaa watoto wasiojua hata kuunga sentensi mbili za kiswahili. Nasikitishwa sana na hii hali, sijui kwanini uongozi wa CDM waliacha hali ikafikia kwenye hatua hii bila wao kufanya damage control.
Sasa hivi imekuwa haiwezekaniki kujadili mada na vijana wa CDM kabla hawajaanza kutoa lugha za maudhi na kero.Yani kila akiandika sentensi mbili, anaanza wewe msaliti, wewe msaliti.yani hopeless kabisa.
Tunacholaani sisi ni CCM kuanzisha matawi yake kuhujumu upinzani kama walivyofadhili uanzishwaji wa ACT
Tukana upendavyo...Lakini hawa vijana wa Chadema unaowatukana hapa ndiyo wapiga kura wenyewe.Ndiyo wameifanya Chadema kuwa chama kikuu cha upinzani nchini.Ndiyo wameipa Chadema wajumbe wengi wa mitaa na vijiji...
Tuwaone nyie mnaojifanya wasomi uchwara na chama chenu cha usaliti mtafika wapi.
CDM msaliti ni yeyote asiyesikilizana na Mbowe na Slaa, au yoyote mwenye mtazamo tofauti,mambo ya ajabu kabisa.
CDM tuliyokuwa tunaipa sapoti ya nguvu humu circa 2006-7 sio hii ya leo iliyojaa watoto wasiojua hata kuunga sentensi mbili za kiswahili. Nasikitishwa sana na hii hali, sijui kwanini uongozi wa CDM waliacha hali ikafikia kwenye hatua hii bila wao kufanya damage control.
Sasa hivi imekuwa haiwezekaniki kujadili mada na vijana wa CDM kabla hawajaanza kutoa lugha za maudhi na kero.Yani kila akiandika sentensi mbili, anaanza wewe msaliti, wewe msaliti.yani hopeless kabisa.
Unalaani kitu gani sasa?kama ngoma inachezwa na CCM nyie CDM inawahusu vipi? Kinachoonekana hapa ni ukosekanaji wa focus. Kama mnachoongea kina ukweli wa kimantiki, kwa nini na nyie msianzishe matawi ya CDM ndani ya CCM?
Je mnafikiria kwa kuchokonoa wanachokifanya CCM wananchi ndio wataridhika na CDM?kazi ya CDM ni kuchokonoa matendo ya CCM au kuwaeleza wananchi wa TZ mbadala wa kisera na aina ya Tanzania mara baada ya CDM kupewa nchi?
Unalaani kitu gani sasa?kama ngoma inachezwa na CCM nyie CDM inawahusu vipi? Kinachoonekana hapa ni ukosekanaji wa focus. Kama mnachoongea kina ukweli wa kimantiki, kwa nini na nyie msianzishe matawi ya CDM ndani ya CCM?
Je mnafikiria kwa kuchokonoa wanachokifanya CCM wananchi ndio wataridhika na CDM?kazi ya CDM ni kuchokonoa matendo ya CCM au kuwaeleza wananchi wa TZ mbadala wa kisera na aina ya Tanzania mara baada ya CDM kupewa nchi?
Nini maana ya MSALITI?
CDM kwa sasa tunapambana na CCM na vibaraka wake wote.Hatuwezi kucheka na vibaraka wa CCM huku tukitarajia kukomboa wananchi..
Siku zote tunaamini kupambana na CCM ni pamoja na kuwaanika wale mawakala wake popote pale walipo ili wananchi wajue adui yuko wapi..