One Struggle, Many Fronts. Forward ever, Backward Never... Tumeamua kuangalia mbele!

One Struggle, Many Fronts. Forward ever, Backward Never... Tumeamua kuangalia mbele!

Ndugu Zitto Kabwe:

Kama kweli wewe ni mpambanaji na mpinzani wa kweli naomba unijibu maswali yafuatayo:
1. Wakati ukijua kuwa NCCR-Mageuzi ina wabunge takribani watatu mkoani Kigoma, kwanini umetoa tamko kupitia Mwananchi kuwa kama kuna mtua anataka kuwa mbunge wa Kigoma lazima ahamie ACT?
2. Kwanini Mwigamba alisema mnakwenda kuifuta CUF pwani?
3. Kwanini wanachama wa chama chako wanakalia kupambana na upinzani uliopo na hasa CHADEMA?

Mkuu only83, akikujibu unibipu....
 
Last edited by a moderator:
Zitto Jana ukihojiwa EA TV ulisema huenda ukagombea ubunge Kawe,Ubungo au Segerea.Nashangaa hapa unasema tena unawekeza nguvu zaidi maeneo ambayo CCM imeshamiri.

Tushike lipi mkuu?

Ukiwa muongo unatakiwa usiwe msahaulifu.
 
Last edited by a moderator:
Hapana, naamini mtu anayebishia legal document with another legal document. Huo utakuwa mwanzo mzuri, au unasemaje?

Zitto can face criminal charges if you produce a document showing he lied on oath. Can you really pass such a fantastic chance to show what a fraud Zitto is by lying to everyone under oath?

C'mon, ndugu usiye na matatizo kichwani, lazima utakuwa na akili za kutosha kupambanua hili. Nasubiri.


Umekwisha mkuu!!!

Mtahangaika Sana tafuta reputation kwa ID zenu lukuki Bahati mbaya kwenu uwezo Wa kujigawa ktk mawazo na haiba tofauti hamna!!! IDs zote zinawiana haiba....reasoning....way of thinking....yaani mnafanana kila kitu!!!!

ha ha ha ha hamna tofauti na wale wajumbe Wa mabaraza ya katiba waliokwenda rundo kujieleza mbele ya tume wakiwa na maelezo ya kufanana mpaka nukta!!! mwanzo na mwisho wao vilifanana kiasi cha wenye akili zao ktk tume kugundua mapema kuwa wametumwa !!!!

Pole Sana!!!
 
Ndugu zitto binafsi unanichanganya kwa majibu haya dhidi ya swali uliloulizwa, kwamba (nanukuu) uliwahi kutamka kuwa uhazishwaji wa vyama hasa tunapoelekea kwenye uchaguzi una lengo la kupunguza kura za wapinzani.
Sasa majibu yako haya chini yamenichosha, kwamba ndilo lengo lenu mh!!.


Lengo langu na wenzangu siku zote limekuwa hilo. Kama tumekoseshwa jukwaa la kupambana, njia nzuri ni kutafuta jukwaa lingine. Tunapambana kupitia ACT Wazalendo
 
Umekwisha mkuu!!!

Mtahangaika Sana tafuta reputation kwa ID zenu lukuki Bahati mbaya kwenu uwezo Wa kujigawa ktk mawazo na haiba tofauti hamna!!! IDs zote zinawiana haiba....reasoning....way of thinking....yaani mnafanana kila kitu!!!!

ha ha ha ha hamna tofauti na wale wajumbe Wa mabaraza ya katiba waliokwenda rundo kujieleza mbele ya tume wakiwa na maelezo ya kufanana mpaka nukta!!! mwanzo na mwisho wao vilifanana kiasi cha wenye akili zao ktk tume kugundua mapema kuwa wametumwa !!!!

Pole Sana!!!

Dude tafuta kazi ya kufanya, biashara ya kufata fata watu nyuma kama lap dog si uungwana,

utoto wenu wa kuzania kila mtu politician humu ndani au amekaa kimaslahi maslahi, pelekeni huko kwenye siasa makelele zenu.

Get of my Lawn.
 
Dude tafuta kazi ya kufanya, biashara ya kufata fata watu nyuma kama lap dog si uungwana, utoto wenu wa kuzania kila mtu politician humu ndani au amekaa kimaslahi maslahi, pelekeni huko kwenye siasa makelele zenu. Get of my Lawn.
Umekuja huku piga tafu ID ingine?Haha...kweli Lusungo hakuachi....ila mara nyingine anaweza kuwa anapita tuu wewe unaanza jisikia guilty.Si unajua Rat hana Imani na paka yeyote?
 
Dude tafuta kazi ya kufanya, biashara ya kufata fata watu nyuma kama lap dog si uungwana,

utoto wenu wa kuzania kila mtu politician humu ndani au amekaa kimaslahi maslahi, pelekeni huko kwenye siasa makelele zenu.

Get of my Lawn.


Mbona hujagusia kabisa nilichoandika zaidi ya kupanic??

Unaliliaga kutukanwa ila hapa umeanzisha matusi sasa vile vilio huwa vyanini??

Unajifanya si politician wakati changizi zako zinakuwakilisha vilivyo??

Au unaakili ya mbunj ya kuficha kichwa huku kalio zote zipo nje??
 
Umekuja huku piga tafu ID ingine?Haha...kweli Lusungo hakuachi....ila mara nyingine anaweza kuwa anapita tuu wewe unaanza jisikia guilty.Si unajua Rat hana Imani na paka yeyote?



Huyu amelialia Sana kule hataki matusi!!! Hapa nimetumia lugha ya kawaida tu naona kapanic hatari!!!
 
Mbona hujagusia kabisa nilichoandika zaidi ya kupanic??

Unaliliaga kutukanwa ila hapa umeanzisha matusi sasa vile vilio huwa vyanini??

Unajifanya si politician wakati changizi zako zinakuwakilisha vilivyo??

Au unaakili ya mbunj ya kuficha kichwa huku kalio zote zipo nje??


Naomba unioneshe tusi hata nusu kwenye nilichoandika.

Dude tafuta kazi ya kufanya, biashara ya kufata fata watu nyuma kama lap dog si uungwana,

utoto wenu wa kuzania kila mtu politician humu ndani au amekaa kimaslahi maslahi, pelekeni huko kwenye siasa makelele zenu.

Get of my Lawn.

Ukikosa, jua ni jinsi gani uko na shida.
 
Naomba unioneshe tusi hata nusu kwenye nilichoandika.



Ukikosa, jua ni jinsi gani uko na shida.


Hihiii ulivyo pimbi unafikiri tusi lazima libebebwe na msamiati mmoja!!!

Ukaja na msamiati Wa kumeza ukifikiri utapoteza attention au kutudaka ukijua tutafikiri ndio tusi lenyewe ndio maana ukaniuliza habari ya 'tusi' wakati Mimi nimesema 'matusi'

"Siasa zenu za makelele" unaitafsiri vipi??

"Utoto wenu" kwako unautafsiri vipi kutuambia sisi watu wazima?? Ukimwita JK mtoto Leo itakua tusi au pambio??

Ukimwita babayo kuwa yu na 'utoto' itakuwa furaha ama karaha?? Itakuwa tusi ama pambio,??

Yaani jinsi ulivyo punguani umekimbilia kuniuliza tusi liko wapi bila kutafakari maneno yako kwanza....

Pili umejuaje kutenganisha siasa kiasi cha kuzijua hizi za 'makelele' hizi za 'utulivh' Kama huzijui??


Akili yako ina shida Sana!!!!
 
Naomba unioneshe tusi hata nusu kwenye nilichoandika. Ukikosa, jua ni jinsi gani uko na shida.
Hadi sasa uwepo wako ni matusi tena mangi na makubwa...kuliko mtu mzima kutembeza uchi na kufanya ngono hadharani..
 
Kuna mi-JITU humu imejigeuza na kumjibia Zitto utadhani imeanzisha thread yenyewe.Mi-jitu imejaribu ku-neutralize maswali magumu dhidi ya Zitto na kufanya yaonekane mepesi.Inaboa sana.

Bwn Zitto tunakusubiri ujibu maswali yote uliyoulizwa huko juu bila kuacha hata moja na usisingizie una majukumu mengi hivyo huna muda wa kutosha simply umeanzisha thread kwa mapenzi yako mwenyewe.

Nitafurahi sana kuona unajibu maswali haya ambayo pia yameulizwa huko juu.

1) Tutakuaminije kuwa hukuanzisha ACT ukiwa ndani ya CHADEMA na wakati sasa upo kwenye nafasi ya juu zaidi kuliko hata waliokutangulia ilihali umepewa cheo hicho ukiwa hata hujakamilisha wiki moja ndani ya chama kipya.?

2)Ukiwa kwenye mahojiano na EFM ulisema kuwa hutogombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya ACT,chakushangaza ukagombea ,tena nafasi ya juu zaidi ndani ya ACT kulikoni Bwn Zitto huu ndiyo uzalendo..?

3) Katiba yenu imetamka kuwa mwanachama mpya hatogombea nafasi ya uongozi mpaka atimize miezi 6 .Sasa wewe wakati unagombea hiyo nafasi ulitimiza matakwa ya katiba.?

4) Na kama mlibadiri katiba ili ukidhi vigezo vya kugombea huoni huo ni mwendelezo wako wa uroho na ulafi wa madaraka.?

5) Na je,mabadiriko ya katiba yenu ambayo ni tofauti na iliyokuwepo kwa msajili wa vyama mwanzoni yalimfikia msajili kabla ya kufanya uchaguzi na kuzindua chama chenu.?Je,msajili kutokufikishiwa mabadiriko ya katiba kabla ya uchaguzi ni sawa..?

Hawezi kujibu haya maswali, lazima akimbie.
 
Back
Top Bottom