ZItto na wengine wanasahau sana kuna mafanikio yanahitaji kuwa safi ktk mambo mengi sana,na kufanya mambo sahihi ktk muda sahihi.hayo ndio yanaongeza nafasi za mafanikio na uwezo wakulinda mafanikio...watu wa aina ya zitto wapo wengi ktk miji wanauza nyumba na viwanja mabilion na bado hayatosha kuwa mtaji,wakati aliyenunua babake aliuza ng`ombe na kumpa nauli ya kwenda mjini au alipiwe ada..akachagua nauli ya kwenda mjini...na akapokelewa na watu waliomdharau na kumchukia kwa kabila ila sasa ndio wanatoa mabilioni kuwahamisha waliojenga na kumiliki hivyo viwanja na majumba kwa vizazi.Zitto ni plunderer , hakuna kitu kinaweza kuwa mtaji kwake, naibu mkuu wa chama kikuu cha upinzani bado haoni kuwa ni mtaji analia km mtu asiye hata na kadi ya chama km act?Mamilioni aliyopoteza kupeleka wasanii kigoma, kununua magari ya kununu utu mbele ya Mbowe, na baadae akaja na thread eti baada ya mbowe kupata ride alisena ni gari ya kifahari kweli na baadae akaachana nayo kwa kuona yana gharama kubwa sana..Yaani alinunua magari bila haya kuyajua au kufikiri km mchumi?Niliuliza hili swali ,tena nikamuuliza mkandala bado hakuwa na majibu na hadi leo wanalikwepa km hawalioni kwa vile wanajua niliwauliza ..akipewa nafasi ktk nchi atafanya vipi tofauti ktk miradi na issue nyingine kwa hela kidgo iliyopo ktk taifa?