Ona maajabu ya maneno ya Hillary Clinton!

Ona maajabu ya maneno ya Hillary Clinton!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,836
Hillary Clinton Verified account ‏@HillaryClinton
This is horrific. We cannot allow this man to become president.

Haya ni maneno ktk kwa Mpinga Kristo Hillary Clinton akiongelea kuhusu video ya D.Trump iliyotolewa kuhusu Wanawake!
Hillary anasema kwamba hawawezi kumuacha mtu kama D.Trump kuwa Raisi wa USA, hivi kati ya D.Trump na Mume wake Bill Clinton ni yupi devil?
Bill Clinton alinyonywa uume live kwenye USA White House (Oval Office), alitembea na Wanawake kibao tena ndani ya Ikulu lkn Hillary Clinton leo hii anasema kwamba Trump hafai kuwa Raisi kwa sababu ya maneno yanayosadikiwa kusemwa mwaka 2004?

Kama kweli watu wa USA watamuamini huyu mpinga Kristo Clinton na kumchagua basi, lile jahazi la USA lililokwishaanza kuzama tangu mpinga Kristo Obama litaishia kabisa, kwa maana laana ya Mungu iliyoletwa na Obama na Clinton kwa kumuua Gadafi inawaandama na itaendelea kuwaandama!
 
Hillary Clinton Verified account ‏@HillaryClinton
This is horrific. We cannot allow this man to become president.

Haya ni maneno ktk kwa Mpinga Kristo Hillary Clinton akiongelea kuhusu video ya D.Trump iliyotolewa kuhusu Wanawake!
Hillary anasema kwamba hawawezi kumuacha mtu kama D.Trump kuwa Raisi wa USA, hivi kati ya D.Trump na Mume wake Bill Clinton ni yupi devil?
Bill Clinton alinyonywa uume live kwenye USA White House (Oval Office), alitembea na Wanawake kibao tena ndani ya Ikulu lkn Hillary Clinton leo hii anasema kwamba Trump hafai kuwa Raisi kwa sababu ya maneno yanayosadikiwa kusemwa mwaka 2004?

Kama kweli watu wa USA watamuamini huyu mpinga Kristo Clinton na kumchagua basi, lile jahazi la USA lililokwishaanza kuzama tangu Obama litaishia kabisa, kwa maana laana ya Mungu iliyoletwa na Obama na Clinton kwa kumuua Gadafi inawaandama na itaendelea kuwaandama!
mkuu uko huko lakini unasahau sera za nje za marekani ni sawa bila kujali nani yuko madarakani. pia wote wapinga kristo hao..
 
Hillary Clinton Verified account ‏@HillaryClinton
This is horrific. We cannot allow this man to become president.

Haya ni maneno ktk kwa Mpinga Kristo Hillary Clinton akiongelea kuhusu video ya D.Trump iliyotolewa kuhusu Wanawake!
Hillary anasema kwamba hawawezi kumuacha mtu kama D.Trump kuwa Raisi wa USA, hivi kati ya D.Trump na Mume wake Bill Clinton ni yupi devil?
Bill Clinton alinyonywa uume live kwenye USA White House (Oval Office), alitembea na Wanawake kibao tena ndani ya Ikulu lkn Hillary Clinton leo hii anasema kwamba Trump hafai kuwa Raisi kwa sababu ya maneno yanayosadikiwa kusemwa mwaka 2004?

Kama kweli watu wa USA watamuamini huyu mpinga Kristo Clinton na kumchagua basi, lile jahazi la USA lililokwishaanza kuzama tangu Obama litaishia kabisa, kwa maana laana ya Mungu iliyoletwa na Obama na Clinton kwa kumuua Gadafi inawaandama na itaendelea kuwaandama!
Hayo mbn madogo ya hapa je unyama uliofanyika visiwani unauzungumziaje, laana itawaacha!! !!
 
So stupidity things to discuss......

Wewe unaonyesha upo na chuki binafsi zinakusumbua kwana Bill akiwa Devil ndiye anayetaka kuwa raid au mke wake?

Alafu toka lini Obama amelizamisha jahazi la USA?

Jana pamoja na mambo yote Hillary kukiri kuhusu zile Email bado Trump alishindwa kukaa kwenye hoja kabisa wakati wa debate akabakia kumshambulia mwenzie na kusema kwamba ataanzisha prosecution juu ya email atimaya ampeleke jera kwa nchi ya kidemocrasia kama USA kumwambia mtu kwamba alitakiwa kuwa jera wakati mahakama aijamtia hataani ni kunyume cha sheria sasa kama anavunja sheria mtu ambaye anategemea kuwa president wa taifa kubwa kama USA anategemea nini......

Kwa taarifa yako kwa kauli ya Jana kajimaliza mwenyewe.....
 
Back
Top Bottom