On Ndulu: The "Guardian" must be kidding me!

Mimi naomba tu kumjibu anayejiita Pasco kama ifuatavyo. Prof. Ndulu siye wa kwanza kushutumiwa kwa matumizi ya kifisadi. Wengi tu wamesemwa humu JF na hata pale ilipoonekana kuwa shutuma zina chembe za ukweli watuhumiwa hawakuwahi kukosa watetezi - tukianzia juu - Mkulu au Mkapa, katikati - Ndulu au Idris hadi chini kabisa kwa akina Londa na wengineo.

Kikubwa ni kuwa tunapiga kelele na siku zote tutaendelea kupiga kelele. Swali la kwanza ni je, kelele zetu zimeweza kuwanyima usingizi ? Jibu nafikiri liko wazi kuwa si tu wanakosa usingzii bali wangetamani angalau hata wapate mahali pa kuzificha nyuso zao, lakini wapi - ufisadi wao umewaganda kama shati lililoloweshwa na aina ya gundi inayoijulikana kama magic glue.

Wote wanajuta, kama anavyojuta Ndulu hivi sasa, laiti angejua litakalofuata asingefanya hilo alilolifanya. Swali la pili ni je hili linatoa fundisho lolote kwa wengine watakaofuata ? Pamoja na jibu kutokuwa rahisi lakini somo kubwa hapa ni kuwa ukifanya madudu ukae tu ukijua kuwa vyombo kama JF vipo na havitakupa free pass kama ilivyozoeleka zamani, vitakuandama kama nyuki.

Wangekuwa hawajuti, utetezi wa kijinga kama huu wa Guardian haungepata nafasi. Hizi ni dalili za kutapatapa, lakini tunao tu.
 
tusiumize kichwa na mwandishi asiyejua anachoandika, kila siku tunalalamika juu ya waandishi wa kitanzania, wote ni shit!!!!!!. wanaweka njaa mbele a ukibaraka- tangu wenzao walipokaribishwa kukaa karibu na baba mwenyenyumba ikulu, na wengine kupewa u-dc sassa wote wana ha hah, wapo tayari kushikishwa ukuta wapate ulaji. kibaya ni kuwa hata wahariri nao matatizo. mhariri ameruusu vipi utumbo mhuo???
smahani wana JF najua miongoni mwetu waandishi wa habari wapo, lakini ukweli ndo huo, taaluma yenu inachafuliwa na wasioitakia mema na wanaopenda kubebwa kwa kujipendekeza kwa wenye mamlaka.
mwanakijiji/ usiumize kichwa na mambo kama hayo- hii ndo tanganyika-nyumba ya amai na utulivu, ula iliyojaa umbea na unafiki kwa kwenda mbele. wewe hushangai mijitu inathubutu kusema eti fulani katawala vizuri aongezewe muda zaidi - wakati katiba hairuhusu, hiyo ndo amani nn utulivu
 
Despite the global financial meltdown, (a)BoT managed the operations of commercial banks in such a prudential manner that the impact of the crunch on these banks was not as catastrophic as earlier feared

Kwa nini wanang'ang'ania lugha ya wenyewe?

amandla.......
 
Mimi naomba tu kumjibu anayejiita Pasco kama ifuatavyo. Prof. Ndulu siye wa kwanza kushutumiwa kwa matumizi ya kifisadi. Wengi tu wamesemwa humu JF na hata pale ilipoonekana kuwa shutuma zina chembe za ukweli watuhumiwa hawakuwahi kukosa watetezi - tukianzia juu - Mkulu au Mkapa, katikati - Ndulu au Idris hadi chini kabisa kwa akina Londa na wengineo.

Kikubwa ni kuwa tunapiga kelele na siku zote tutaendelea kupiga kelele. Swali la kwanza ni je, kelele zetu zimeweza kuwanyima usingizi ? Jibu nafikiri liko wazi kuwa si tu wanakosa usingzii bali wangetamani angalau hata wapate mahali pa kuzificha nyuso zao, lakini wapi - ufisadi wao umewaganda kama shati lililoloweshwa na aina ya gundi inayoijulikana kama magic glue.

Wote wanajuta, kama anavyojuta Ndulu hivi sasa, laiti angejua litakalofuata asingefanya hilo alilolifanya. Swali la pili ni je hili linatoa fundisho lolote kwa wengine watakaofuata ? Pamoja na jibu kutokuwa rahisi lakini somo kubwa hapa ni kuwa ukifanya madudu ukae tu ukijua kuwa vyombo kama JF vipo na havitakupa free pass kama ilivyozoeleka zamani, vitakuandama kama nyuki.

Wangekuwa hawajuti, utetezi wa kijinga kama huu wa Guardian haungepata nafasi. Hizi ni dalili za kutapatapa, lakini tunao tu.
.
Mag 3, asante, nimebisha, hatimaye nimeishiwa hoja, nimekubali. Kama wote tutakua na uchungu wa kweli, October uwe mwisho wao na hilo hekalu la hadhi ya gavana tutawapa watoto yatima.
'Pamoja Tunaweza'
 


"As we reported on Tuesday, BoT’s procurement system has been so streamlined and made so transparent.."
Hivi ujenzi wa hilo hekalu ulitangazwa au tulisikia magazetini? Hiyo transparency ipo wapi?

This makes us ask where the remaining two thirds, which the bank will now save, used to go before Prof Ndulu took over as governor. The answer is obvious – and it is that the amount used to go into the pockets of individuals whose identity and motives are anybody’s guess.

Why state the obvious? Hivi ni kweli the identity and motives of the printers were not known? Doesnt BoT know who was its previous printer? Was it another Richmond type deal where the identity and motives were not known until investigation?
Otherwise is the newspaper trying to fool us all?????

I am forced to believe...Cash is still KING!!!
[/QUOTE]
 
Ndiyo maana yeye na gavana wote wanatakiw wasirudi tena mwaka huu!
Mzee Mwanakijiji, asante, nimebisha, hatimaye nimeishiwa hoja, nimekubali. Kama wote tutakua na uchungu wa kweli, October uwe mwisho wao kikweli na hilo hekalu la hadhi ya gavana tutawapa watoto yatima.
'Pamoja Tunaweza'
progress.gif
 
tusiumize kichwa na mwandishi asiyejua anachoandika
,
Mzee wa Kindimbajuu, mimi jirani yako wa Rwanda pale baada ya Ndogosi, Mwandishi huyo alijua vizuri sana alichoandika, kwani ile ni editorial, ni kazi ya mhariri mwenyewe, kwenye journalism, kuna topic inaitwa 'factors that are shapeing the news'. 'He who pays the pipper'

kila siku tunalalamika juu ya waandishi wa kitanzania, wote ni shit!!!!!!.
.
Hii ni too general, huwatendei haki baadhi yao ambao are doing good job, hata kama ni mmoja, humtendei haki. Ungesema baadhi yao, au wengi wao. Hata hii yawaandishi wa Kitanzania nayo ni too broad, unless ukiniambia Waandishi kama Mzee Mwanakijiji hayumo hata kama kazi zake zinatoka magazeti ya Tanzania.

wanaweka njaa mbele a ukibaraka- tangu wenzao walipokaribishwa kukaa karibu na baba mwenyenyumba ikulu, na wengine kupewa u-dc sassa wote wana ha hah, wapo tayari kushikishwa ukuta wapate ulaji
.
Sio waandishi wote wa Tanzania wanaweka njaa mbele, ninao ushahidi wa waandishi waadilifu tatizo, kwa vile fani ya uandishi Tanzania, haina maslahi bora, nimewashudia hawa waadilifu, wakijifia na umasikini wao and no body recognises them any more.

Uandishi ni profession kama profession nyingine zote, kuna waandishi wa wito, kuna wake wa kazi ili mradi, hawa ni waandishi wa mshahara, na sasa fani hii imevamiwa kuna mpaka 'makanjanja'.

Kwenye newsrooms kuna waandishi wa wito, wao ni kalamu na wao, wanaelimu mzuri kwenye fani zinazolipa kama sheria, lakini wameng'ang'ana na newsroom tuu. Hata apewe ahadi gani, hang'oki, they just love to write.

Wale wa mshahara ndio hao hupita newsroom kama njia kuelekea kwenye green pasture into PR, Information Officers or Communication Officers.
Be fare to them, laiti ungejua uhalisia wa kazi ya uandishi usingewatukana.

Ni sawa na kuwatukana walimu wa primary baada ya matokeo mabaya ya darasa la saba.


kibaya ni kuwa hata wahariri nao matatizo. mhariri ameruusu vipi utumbo mhuo???
Wahariri nao si ni binadamu tuu, kama ni njaa, njaa za wahariri ndio njaa kali zaidi, ila pia utumbo kwa mmoja, ndio kitoweo kwa mwingine. Naamini ukipita hapo BOT kesho, utaikuta hiyo editorial wametundika notice board yao.
 
HILI LI SHE*&ZI NDULU linatufanya watanzania wote mabwege sio..,sasa kufanya kazi kwake WB,IMF alishindwa kujenga miaka yote hiyo?!huyu ni mtanzania kweli?hata waalimu wa sekondari wanajibana wanajenga nyumba zao,itakuwa huyu aliyekuwa WB?

sababu ya kupanga ni nini??at his age 50+ he should have a house.kama hana nyumba hafai kuwa governor.

kukaa nyumba inayocost nusu ya mshahara wake ni matusi kwa watanzania wanaoliwa laki tatu na hata posho ya elf kumi kwa mwezi hawapati!

"Kimweri hakika wewe ndie mjinga, husikilizi radio, husomi magazeti, hujuwi uchumi, wala huna akili yakung'amua maneno ya warevu wapumbavu tafadhali muombe radhi Prof Ndulu, ni mtu mzuri ila taifa hili linanuka rushwa kali sana. Alafu plz kuwa soma soma ndipo umtukane mtu, Prof ananyumba marekani na ananyumba kali Tz, pole"
 
"Kimweri hakika wewe ndie mjinga, husikilizi radio, husomi magazeti, hujuwi uchumi, wala huna akili yakung'amua maneno ya warevu wapumbavu tafadhali muombe radhi Prof Ndulu, ni mtu mzuri ila taifa hili linanuka rushwa kali sana. Alafu plz kuwa soma soma ndipo umtukane mtu, Prof ananyumba marekani na ananyumba kali Tz, pole"

kwanini asikae kwenye hiyo nyumba yake hapo Bongo na akapokea posho ya nyumba ya dola 3000?
 
Namshukuru Mungu kuzaliwa Tanzania. Hata hivyo Jamani Prof anaonewa. Na yote haya niufisadi ulio jikita ndani ya BOT. Mim labda niseme taifa hili linapesa nying tu ila wachache wazitafuna. If Prof kajenga nyumba ya Gavana na akimaliza ataiacha nini tuna lalamika? Pili ikiwa wataalamu wetu watachunguza nakukuta mradi huo unaendan na value of that money nini tunabishana? Sio siri nawaona watu hawa kuwa wajinga kwakupiga makelele 4just 1.3 bil while epa yameibiwa mabilion kiukweli. Plz mwachen Ndulu afanye kazi yake sm dy tutakuwa mbali kiuchumi, nivizuri viongoz wetu kuish makaz yenye hadhi ilikutunza heshima na uzalendo wetu. We are the people of Tanzania and We must love our county and our leader with all of our heart. Thank u.
 
Namshukuru Mungu kuzaliwa Tanzania. Hata hivyo Jamani Prof anaonewa. Na yote haya niufisadi ulio jikita ndani ya BOT. Mim labda niseme taifa hili linapesa nying tu ila wachache wazitafuna. If Prof kajenga nyumba ya Gavana na akimaliza ataiacha nini tuna lalamika? Pili ikiwa wataalamu wetu watachunguza nakukuta mradi huo unaendan na value of that money nini tunabishana? Sio siri nawaona watu hawa kuwa wajinga kwakupiga makelele 4just 1.3 bil while epa yameibiwa mabilion kiukweli. Plz mwachen Ndulu afanye kazi yake sm dy tutakuwa mbali kiuchumi, nivizuri viongoz wetu kuish makaz yenye hadhi ilikutunza heshima na uzalendo wetu. We are the people of Tanzania and We must love our county and our leader with all of our heart. Thank u.

grrrrrrrrrrrr!!! Mimi ningependa hiyo nyumba ipigwe mnada tuone kama itauzika kwa bei hiyo! si bado mpya?
 
kwanini asikae kwenye hiyo nyumba yake hapo Bongo na akapokea posho ya nyumba ya dola 3000?

"unauliza majibu au swali? Jibu ni moja tu kama viongoz wengine anapangiwa hlo fungu nayeye kaz nikupokea. Pili mipango mibaya na mitazamo yakiubinafsi imefanya viongoz weng wangaz zajuu kuwa hawana makaz kwa sababu yakujiuzia zile nyumba za serikali, kwakwel Hapa serikal ya mstaafu mkapa ilichemka tukumbuke hawa viongoz wa ngaz zajuu wanaitaji ulinzi so lazima wawe karibu namaeneo ya mjini. Wel uzalendo ni msing bora"
 
kwanini asikae kwenye hiyo nyumba yake hapo Bongo na akapokea posho ya nyumba ya dola 3000?

Say what? Mshahara wa dola 15,000 kwa mwezi halafu juu yake tumpe posho ya nyumba? Bila shaka masuala kama luku, maji, walinzi wa nyumba, mtandao, simu n.k vyote vinalipiwa na mwajiri. Halafu tukiuliza tunaambie wametufanyia feva kurudi bongo maana huko alikokuwa alikuwa anavuta zaidi! Feva kuwa Gavana! Kuna watu wangelipa na kufanya kazi bure ili wapate nafasi ya ku-manage uchumi wa nchi. Meya wa New York, Bloomberg analipwa kiasi gani ? Ni heshima kubwa sana kuaminiwa hivi na nchi yako. Wakati umefika wa kulipa hiyo heshima.

Amandla.......
 
Say what? Mshahara wa dola 15,000 kwa mwezi halafu juu yake tumpe posho ya nyumba? Bila shaka masuala kama luku, maji, walinzi wa nyumba, mtandao, simu n.k vyote vinalipiwa na mwajiri. Halafu tukiuliza tunaambie wametufanyia feva kurudi bongo maana huko alikokuwa alikuwa anavuta zaidi! Feva kuwa Gavana! Kuna watu wangelipa na kufanya kazi bure ili wapate nafasi ya ku-manage uchumi wa nchi. Meya wa New York, Bloomberg analipwa kiasi gani ? Ni heshima kubwa sana kuaminiwa hivi na nchi yako. Wakati umefika wa kulipa hiyo heshima.

Amandla.......

FM.. that is my point.. hawa jamaa hawawezi kukubali kupunguziwa kitu chochote hata kama kinachopunguzwa bado ni anasa ya hali ya juu.. hawa wameshaambiana "wanastahili" na hakuna mtu anayeweza kuwanyang'anya kitu hicho. BInafsi, naamini huo mshahara wa 15000 unatosha kabisa kumfanya aishi katika anasa Tanzania!
 
FM.. that is my point.. hawa jamaa hawawezi kukubali kupunguziwa kitu chochote hata kama kinachopunguzwa bado ni anasa ya hali ya juu.. hawa wameshaambiana "wanastahili" na hakuna mtu anayeweza kuwanyang'anya kitu hicho. BInafsi, naamini huo mshahara wa 15000 unatosha kabisa kumfanya aishi katika anasa Tanzania!

Naam, Mkuu. And to add insult (salt) to injury, utakuta yote haya ni tax-free! Sehemu yeyote duniani mshahara wa dola 15000 kwa mwezi unaweza kutesa. Hata uswisi utakuwa comfortable, si tajiri, lakini comfortable. Kwa Tanzania utaweza kukufuru jinsi unavyotaka.

Amandla....
 
,
Mzee wa Kindimbajuu, mimi jirani yako wa Rwanda pale baada ya Ndogosi, Mwandishi huyo alijua vizuri sana alichoandika, kwani ile ni editorial, ni kazi ya mhariri mwenyewe, kwenye journalism, kuna topic inaitwa 'factors that are shapeing the news'. 'He who pays the pipper'/QUOTE]

habari oti!., ujumwiki lelo?

Hapa kuna kitu kwa baadhi ya waandishi wa habari wakipewa bahasha, watasifia mpka mkeo hata kama hakuwahi kulala nae!. Hili ndo tatizo la hii fani, pesa inakubalisha unakuwa "mwandiiiiiiishiiiii,"..

Huyu kilaza sio hakujua alilokuwa akiandika, hasha, yupo makini na aliyotumwa ayaandike, ajatenda kosa lolote hapo, na siku yake imeingia "doubled".


Liyumba aliwahi kusifiwa sana huko nyuma lakini tokea ametolewa kafara, kwisha kabisa!, hata usemi hana tena sasa mzee wa red red!.

Ndullu anajua kwa muda huu ndo wa kupiga mambo. Wajanga watakumbuka mambo ya Keenja wakati alipokabidhiwa kuliongoza kwa mpito Jiji la Dar, aliweka safi pale wananchi walipokuwa wakipigia kelele lakini ni katika kipindi hicho hicho Charles Keenja (MP) aliweza pia kujikusannya zile zilizomwezesha kugombea Ubungo wa Ubungo.
 
Naam, Mkuu. And to add insult (salt) to injury, utakuta yote haya ni tax-free! Sehemu yeyote duniani mshahara wa dola 15000 kwa mwezi unaweza kutesa. Hata uswisi utakuwa comfortable, si tajiri, lakini comfortable. Kwa Tanzania utaweza kukufuru jinsi unavyotaka.

Amandla....

Kwa Mshahara huu hata akitaka kununua X6 mpya kwa kweli atauziwa. Maana hizo za safari na wanazovuta pembeni zinatosha kabisa yeye kuishi na mshahara ukalipia hilo gari. Inatosha akiishi kama binadamu kwa mwaka mmoja tu anakuwa kashamaliza mkopo. Na hili gari uongo mbaya popote pale duniani ukaingia nalo Mpingo, ngozi nyeupe watapa donge.
 
You never know Mkjj, maybe the writer of this article is laughing all the way to the bank with huge sums of money kwa kazi nzuri ya kumtetea muheshimiwa ili kitumbua chake kisiingie mchanga.
 
Tatizo kubwa la Tanzania watu hawaelewi kabisaaaaa, wangelikuwa wanaaelewa wangefukuza wakoloni wote na kuamua kujitawala wenyewe. Walipata nguvu za kufukukuza wakoloni weupe wakaacha weusi. Sasa angalia wakoloni weusi wanavyokula bila kunawa halafu wanawajua vizuri tu watanzania.

Tutapiga kelele weeee wakati watu wanaendelea kuponda maisha.

Inabidi tusema inatosha badilisha mifumo ya utawala ya BoT, ondoa Ndullu na peleka ndullu mahakamani kabla ya uchaguzi, tukisubiri ndullu baada ya uchaguzi atapaa tu na kuacha vinywa vya watanzania wazi.
 
Back
Top Bottom