Mmmh asante
nimemjua wa kwangu sasa
Nimefuatilia huu uzi tangu mwanzo hadi mwisho, nimegundua jambo moja tu "wanawake wa jamii forum mko juu katika sanaa ya ngono" mnq experience iliyovuka viwango. Nashauri anzisheni shule ya kufundisha masuala ya kungonoana, manake hakuna sehemu ambayo hamjawahi fanyia, kitandani, jikoni, kwenye coach, majini, ktk gari, juu ya miti, etc etc etc. Da kaazi kweli kweli.
mmh ni siri yangu
asije akaibiwa bure
Haya mzee wa English
haya tunashukuru kwa maelezo yako
mito, ina maana kundi la nne hata hizi dawa zetu sa asili za kuongeza nguvu za kiume kama MZAKARU, ZOKA, FARU, MKUYATI, DUME, SHOKA, KAMANYOLA, KAMCHAPE na kadhalika, zote hazifui dafu kweli?
Umeona eeh!!??
Hebu ninong'oneze shem yupo group gani
Sasa mbona sioni wa namba4 hata mmoja alojitokeza! Huyo ndio mimi namtaka.