Ni 'in bed' na siyo 'on bed'.
Maisha ya online haya sista!! hakunaga aliyelost, hakunaga aliyepigwa na maisha, hakunaga asiyejua mapenzi, hakunaga mwenye kibamia, yaani ni full fake!!!
Mmh naanza kupata wasiwasi na wewe sasa!! au ndo zile zako unataka wa kuolewa naye, loh!!!
mko sawa,, ON BED maana yake upo kitandani na unajua kinachoendelea kwa wewe kuwa juu ya kitanda ila IN BED umelala usingizi hata wa kuota
mko sawa,, ON BED maana yake upo kitandani na unajua kinachoendelea kwa wewe kuwa juu ya kitanda ila IN BED umelala usingizi hata wa kuota
Maisha ya online haya sista!! hakunaga aliyelost, hakunaga aliyepigwa na maisha, hakunaga asiyejua mapenzi, hakunaga mwenye kibamia, yaani ni full fake!!!
mito, ina maana kundi la nne hata hizi dawa zetu sa asili za kuongeza nguvu za kiume kama MZAKARU, ZOKA, FARU, MKUYATI, DUME, SHOKA, KAMANYOLA, KAMCHAPE na kadhalika, zote hazifui dafu kweli?
akimaliza kukujibu wewe......na mimi aniambie kwa jikoni.......
hahaha wacheni singizi wazungu bana mbona wanapiga miti tuu kwa kwenda mbele
Hapana hainihusu mana sijawahi kukutana na wa sampuli hizo. ( Kumbuka huo ni mitazamo wake tu sio lazima uwe kweli)
By the way wangu yupo kwenye no 1
Teh teh nidanganye tu Leo