Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,479
- 176,527
Umetisha
Inamaana humu jf kwa wanaume wote hakuna wa kundi la 4 kabisaaaaa!
Umetisha
Inamaana humu jf kwa wanaume wote hakuna wa kundi la 4 kabisaaaaa!
Mimi nataka kujua, unataka kumfanya nn mf akitokea?
Ninachowaomba vijana ni kwamba hizi bidii mnazozionyesha katika kuwafikisha wanawake vileleni ziende sawa na bidii za kuboresha hali zenu za maisha.....
mmh ni siri yangu
asije akaibiwa bure
Ninachowaomba vijana ni kwamba hizi bidii mnazozionyesha katika kuwafikisha wanawake vileleni ziende sawa na bidii za kuboresha hali zenu za maisha.....
mmh ni siri yangu
asije akaibiwa bure
na kwenye kochi je?
hahaha wacheni singizi wazungu bana mbona wanapiga miti tuu kwa kwenda mbele
Kuna jamaa alikunywa dawa ya kuongeza nguvu, halafu demu hakutokea dah, mziki wake nusura abake ........
Mimi namjua jamaa mmoja alipewa na mmasai, sasa akawa haiyamini vile, si kapiga triple dose! daaah! anakwambia wakati wa hemu hakushuka kifuani mpaka na vidole vyote vikashindikana kukunjwa!!!!!!