hahaha dah mkuu umenikumbusha kitu...
kuna siku niliugua homa usiku..wife baada ya kunipa dawa..akaniambia ka vp nile mzigo labda itapungua..nikasema fresh
asubuhii nilivyopata nafuu alicheka kwelii na kuniambia #yani likija trni linalobeba wala mizigo katika hali yoyote..atanipandisha
Naturally, kuna wanaume wa aina nne kutegemea na uwezo wao kingono:
1.Kundi la kwanza ni wale ambao wana uwezo mkubwa wa tendo la ndoa, yaani kwao erection is not an issue at all. Ukiolewa na mwanaume wa jinsi hii, jishike kweli kweli maana ni mwendo mdundo. Wanapenda mchezo kila siku, kila wakati hadi sometimes mwanamke anaona kero!
2. Kundi la pili ni la wale wenye uwezo wa wastani. Hawa wanaweza kuvumilia hata kama mtapanga ratiba yenu ya mchezo wenyewe.
3. Kundi la tatu ni la wale wenye uwezo mdogo wa kufanya tendo la ndoa. Hawa wanapata erection ya kuvizia. Wakati mwingine inabidi mwanamke afanyekazi ya ziada ili mzee asimame. Wanaume wengi wa kidhungu wako ktk kundi hili, nadhani wale mliowahi au mpo kwenye mahusiano na wanaume wa kidhungu mtakuwa mashahidi.
4. Kuna la nne ni la wale wasio na uwezo kabisa, yaani si riziki, nadhani wanaeleweka hivyo sina maelezo marefu kuhusu kundi hili.
Ushauri: ni muhimu kumjua mpenzi/mumeo yuko ktk kundi gani ili ujue namna ya kuishi naye vizuri kingono! Hii itasaidia kuepusha lawama na malalamiko ambayo yanatokana na nature.
Samahani kama ni marudio!
Hapana mkuu (hapo kwa red)
Soma comments zao za jana (nadhani page 7 na 8) ndo utaelewa walichosema
Wapo wa kundi namba moja ambao hugeuka kuwa kundi namba mbili, tatu na nne kutegemeana wapo na mwanamke wa aina gani. Kwa mfano, mke aliyekuchosha au wale wanaume waliozoea kupewa tigo lakini hawapewi, na pia wale wanaume ambao wana sehemu zao ambazo wakishikwa au yakitokea mautundu fulani, wanaamka lakini kwa vile hawashikwi na hawawezi kuomba hilo, performance inasua sua;
huuuuuuuuuuuuuuuuuh hupitwi kwenye hizi mambo.
Yaaa, ni kwa mujibu wa utafiti wangu mwenyewe, but can be criticized kama baadhi ya wadau wanavyofanya ktk comments zao
Umeonaeeeh!Inamaana kund Na 3 na 4 halina wahusika humu?
Nimefuatilia huu uzi tangu mwanzo hadi mwisho, nimegundua jambo moja tu "wanawake wa jamii forum mko juu katika sanaa ya ngono" mnq experience iliyovuka viwango. Nashauri anzisheni shule ya kufundisha masuala ya kungonoana, manake hakuna sehemu ambayo hamjawahi fanyia, kitandani, jikoni, kwenye coach, majini, ktk gari, juu ya miti, etc etc etc. Da kaazi kweli kweli.
mito wanaume bana sijui wakoje but thanks sana kwamba GY yeye ni namba 1. na kwakua mm niko wa stail hizo basi tabu sipati hata kidogo.
kwetu mchezo wa matusi lazima uchezwe masaa 4 hadi 5 kwa siku moja. inaitwa super excellent! angalizo dont try this kama siyo mtu wa aerobics
teh teh teh, nimecheka ushauri aliokupa, usikute ndo ilikuwa dawa haswa
Mkuu hebu nambie, hii research uliifanya live? Naomba uje unifanyie na mimi ili nijijue, kama hutajali na kama tu, narudia kama tu jinsia yako ni jinsia pendwa ya KE.
Nimefuatilia huu uzi tangu mwanzo hadi mwisho, nimegundua jambo moja tu "wanawake wa jamii forum mko juu katika sanaa ya ngono" mnq experience iliyovuka viwango. Nashauri anzisheni shule ya kufundisha masuala ya kungonoana, manake hakuna sehemu ambayo hamjawahi fanyia, kitandani, jikoni, kwenye coach, majini, ktk gari, juu ya miti, etc etc etc. Da kaazi kweli kweli.
wanadai kila siku inaboa bana!
hebu ngoja tuwaulize kina dada wa humu, Heaven on Earth, Mkunde Original na wengineo njooni pande hii msaidie Himidini
It depends na mtu na mtu, mkikutana ke na me wote ni 4*4*far aaah mwendo mdundo kitu telekma tukaze. Kama kulima mnalima wote kuvuna manavuna wote na kula mnakula wote, sambamba yaani hapo ni daily service never miss except za ugonjwa, kulala msibani, ukiwa juani (on moon). Kwa watu wa aina hiyo hata mkigombana mnananilihiana kisha mnuno ugomvi unaendelea kama kawaida heheheheeeeeee
Ila ukikuta ke na me wote urojo akuuu wakibonyezana jumatatu ndo hadi ijumaa kizeeenjiiii bonyeeeeeee yaani wanafanya kama uterezi pruuuuuu mkapaka maka kisha wanapodondokea ndo hapo hapo hawainuki hadi siku 4 au 5 zipite. Pia wanajulikana kama mapenzi ya chatu yaani chatu akishakula msosi wake kuamka hapo hadi mwezi upite loooh
Sasa mkikutana mke wa urojo halafu mume ni 4*4*far lazima pavumbike heheee